Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Kwema sana mkuu, mshiriki wa wapi mkuu?Akhsante sana mpendwa
Kwema lakini mkuu
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Kwema sana mkuu, mshiriki wa wapi mkuu?Akhsante sana mpendwa
Kwema lakini mkuu
Vizuri sana kama ni kwema mkuu
Mi nipo Mwenge SDAVizuri sana kama ni kwema mkuu
Mimi ni mshiriki wa BARIADI SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH
Karibu sana mpendwa
Oh!!sawa/vizuri sana mpendwa
Uko chimbo gani? Nilikuwa NDC mida ya mchana saa hii niko Lugalo golf club!Karma ebu sogea hapa na haka kamvua tupige gahawa View attachment 2025349
Mlimani city hapa, wiki nzima sikuwepo Dar es salaam na nimerudi nimefikia Town huku 😅😅😅 narudi kunduchi jumatanoUko chimbo gani? Nilikuwa NDC mida ya mchana saa hii niko Lugalo golf club!
Sawa Kabisa Vasco Da GamaMlimani city hapa, wiki nzima sikuwepo Dar es salaam na nimerudi nimefikia Town hukunarudi kunduchi jumatano

Kuna mtu jana ananimbia kama mchawi, mda huu unaweza sikia nipo dar kesho ukasikia nipo mwanza 😅😅😅Sawa Kabisa Vasco Da Gama![]()
Toa kivuli mkuuSaturday evening!!View attachment 2025370
Hahaa!Toa kivuli mkuu

Kazuriii!mashallah!Toa kivuli mkuu
Smile sasa!waooo!!Hahaa!![]()
Au ilete kule kwa waziri mkuu ikiwa haina kivuli tafadhaliHahaa!![]()