cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Lipzzz za kunyonya walahhhhh.Selfie za usikuView attachment 2018093
Nimekupa ofa Asenali upoze machungu baada ya kukupiga mabao ya kutoshaDota huyu dogo hamjui babako, anataka nidai chochote! Hayuko serious kabisa![]()

Umesoma Korogwe? Na mie nilisoma huko mpaka form fourhayo madirisha km shule fulan kongwe ya serikali, nlisoma hapo O level, mweeeeh
Nmekumbka mbali sana.
Shule nyingi za serikali zile kongwe hasa za bweni, kabla ya ukarabati mpya ule wa 2017, zilikua na muundo wa hivyo, sijasoma korogwe mie, ila n shule nzuri sana kiukweli.Umesoma Korogwe? Na mie nilisoma huko mpaka form four
Fingers crossed ntavusha babyyyy.Unavusha mkuu![]()
Nakusalimu kwa jina la jamuhuri
Kama Msambiazi maeneo ya zile hotel mbili barabara ya Korogwe - Mombo
Karibu pazuri, weekend usiku dar ukaribie fish fish 😀😀😀Kama Msambiazi maeneo ya zile hotel mbili barabara ya Korogwe - Mombo