cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,181
Nakusalimu kwa jina la jamuhuri
Maths pekee niliyo enjoy ni ya Primary.
Yalipoanza mambo domain, range na logarithms... Nikaiweka Maths pembeni




Hii si ndo salamu yenu huko duniani?Ahsante Rafiki, huyu Jamhuri ndio nani huyu?
Tulishazoea kusalimiwa kwa Jina la Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi, na kila viijazavyo.


Sijambo Carba shkamoo.nimerudi baby girl
Hujambo lakini?
Iyunga kuna Mikwaju na Miranda

Hii si ndo salamu yenu huko duniani?
Naomba lift![]()
Maths pekee niliyo enjoy ni ya Primary.
Yalipoanza mambo domain, range na logarithms... Nikaiweka Maths pembeni


nimecheka sana..sijawahi acha Maths nikiikwepa imejaa...baasi naishi nayoDota huyu dogo hamjui babako, anataka nidai chochote! Hayuko serious kabisa![]()





Lazima mikwaju iwepo ,we watoto wa kiume tu na upande wa pili hakuna fensi,,si kuwatia majaribu watoto wa watu ili wawasulubu.
Marhabaa totooSijambo Carba shkamoo.
Nani anakuficha jamani??


Nasubiri
Mimi nimeamua niwe nakumbuka za kujumlisha na kutoa tu ,nyingine za kutiana tu stress.nimecheka sana..sijawahi acha Maths nikiikwepa imejaa...baasi naishi nayo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Marhabaa totoo
Majukumu tu ndo yananificha



Eti katikati ya soko
Kwa kweli hapo kichaa amepewa rungu tena katikati ya soko




Hivi kd kaonekana kweli?nmem miss kwakweli
Usijifiche sana
Mimi na Kinh tunakumiss mno![]()
