B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Sio mwailubi kule mbeya
Ni nyanda za juu kusini kwa Wazee wa kujinyonga
Ni nyanda za juu kusini kwa Wazee wa kujinyonga
Nangoja ujeuke
Nisamehe Mimi kipenzi, nakumbuka ulishawahi niambia ila mimi ndiyo nilisahau.
Ngojea hapohapo mkuu.Nangoja ujeuke
☺☺😁😁😁🤣😂😂
Kwa hilo jicho nilipoliona tu nahisi kama una ile invisible influence...
Hata kama ni mie ungeniangalia ukanambia tuma na ya kutolea ni chap tu...
Uliisha ona ile filamu ya kuitwa dune ya 2021, kuna wale wanawake(Bene Gesserit )wana powers,The way wanaongea au kukuambia jambo can force anyone who listens to take any desired action.. we ni moja ya Bene Gesserit😂😂😂
Kama unabisha nipigie video call usiweke mask halafu niombe pesa kama sikutumii...
View attachment 2009551
Reminiscence, hii ni moja kati ya movies kali sana mwaka huu. Nimependa sana kuanzia uigizaji mpaka storyline.
View attachment 2009553
I Care A Lot. Hii nayo nzuri sana inaelezea jinsi watu matajiri wanavyokuwa heartless.
Hornet Hii ipo Netflix.
View attachment 2009555
Playing God. Hii nayo kali sana.
View attachment 2010363
Mkuu naanza na hii, kongole sana...




sasa sibadilishi ndo naandka iv iv, tena ntazidi kuongeza ili ukerekwe zaidi, na tuone utafanya nn.Kama sababu moja wapo ya kujiunga humu ni kupata maarifa sasa hilo jukumu ni langu la kukufundisha jinsi ya kuandika. Acha utoto hapa JF watu wanajielewa na hakuna anaeandika kitoto kama wewe.
Ndio mimi sikuogopi nakuchana ukweli jirekebishe andika vizuri kama mtu anaejielewa sio unaandika hovyo hovyo tu kama unaandikia watoto wenzako.
Jambo langu ndio hilo tu wala sina jingine. Rekebisha uandishi wako. Unakera, unaboa wala usifikiri watu wanapenda. Unajichoresha tu unavyoandika.






hovyoooh khaaaahWapi location dea? Na mie nije kula cake,Umenikumbusha sijachukua champagne
Washereheshaji wenyewe tushalewa



Ungeweka camera ingine bhana, mbna hii km giza eti?
Ndinga hii, seat cover zake ziko onWakuu wa dom fanyeni basi kusogea kisasa hapo capetown tule nyama choma kidogo au nafanya makosa ndugu zangu?View attachment 2010310


, nimezikubaliAcha utoto wewe. Usijichekeshe chekeshe kijinga jinga. Unaonekana waki tu. Endelea na ujinga wako. Stupid.sasa sibadilishi ndo naandka iv iv, tena ntazidi kuongeza ili ukerekwe zaidi, na tuone utafanya nn.
Watu mmevurugwa na maisha, mnaona stress zenu ndo mpumzikie kwangu, msieeeeew,hovyoooh khaaaah
Kwan unataka nijilize lize kipumbavu? Ukijiliza wee inatosha sana, huo utoto na u waki naonekana mie, mbna sasa wee ndo unaumia?Acha utoto wewe. Usijichekeshe chekeshe kijinga jinga. Unaonekana waki tu. Endelea na ujinga wako. Stupid.





Acha utoto wewe. Jirekebishe acha kujichekesha kiwaki.Kwan unataka nijilize lize kipumbavu? Ukijiliza wee inatosha sana, huo utoto na u waki naonekana mie, mbna sasa wee ndo unaumia?
Ujinga 4 life, haya relaaaaax. Nyokooooooh
Acha utoto wewe. Jirekebishe acha kujichekesha kiwaki.



wee unantafutia ban, nshakuona, aidha umetumwa au laah ni I'd yako nyingne, Nakuja dea, ila huyu kiumbe leo kaamka na mie, cjui anakwama wapi hata, maan viumbe wengine humu wasipo gombana na mie hawajiskii ahuen, cjui wakoje.[mention]cocastic [/mention] na [mention]Chaliifrancisco [/mention] njooni tunywe bia