Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🥱🥱
20211114_171712.jpg
 
Exactly mkuu, unaweza ku hack hotspot yeyote ile ukiwa na kali linux tu, uzuri ina 3GB, unaweka tu kwenye flash, ile haihitaji uinstall kwenye HDD ni lightweight so una boot tu toka kwenye flash unaacha pc yako na windows yake...

Mfano mimi nikienda hotelini kama wana wifi hakuna rangi wataacha kuona kama nina pc na linux...

Nimecrack password za hoteli nyingi town...
Unatumia Aircrck au Nethunter mkuu?
 
Acha utoto mkuu kuwa. Unajichoresha tu. Usikaze ubongo wako. Acha mambo ya kitoto.
Mie n mtoto bado, tena kwa kila kitu, vipi nikimbilie ukubwan ili nigundue nn?
Km kuhusu uandishi c ushaongea? Mbna bado una haha na mie? Vipi una jingine?

Usinitafute kiundani plz, naomba niache wala sitak malumbano na wee, au unaona raha kujibishan na mie? Ukawe unasema huwa uonaongeaga na cocastic ?
 
Mie n mtoto bado, tena kwa kila kitu, vipi nikimbilie ukubwan ili nigundue nn?
Km kuhusu uandishi c ushaongea? Mbna bado una haha na mie? Vipi una jingine?

Usinitafute kiundani plz, naomba niache wala sitak malumbano na wee, au unaona raha kujibishan na mie? Ukawe unasema huwa uonaongeaga na cocastic ?
Acha kujichekesha kiwaki. Kikubwa acha utoto mkuu. Jirekebishe acha tabia za kishamba. Unajichoresha tu. Acha ushamba wako.
 
Back
Top Bottom