Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mgiriki Jr VI nimerudi faraghani kabla yako
20211114_115507.jpg
20211114_115602.jpg
 
🤣🤣🤣
Ya nini kujinyima oxygen bure, ujue wakati unasoma unahitaji oxygen kwa wingi, ujue ubongo unatumia almost robo ya oxygen yote mwilini...

We hio mask kavae kwenye public transport 😂😂

=============================
Malware zipo zinauzwa dark web huko...

Hacking trick nyengine.... wifi hotspot za bure...
Ujue unapotumia wi-fi ya mtu ujue kila kitu na taarifa zote, takataka zote zinapita kwenye kifaa anachotumia kukupatia wi-fi..

Web traffic yote mtu anaweza kutizama na kufahamu kila unachofanya..
Mfano nikienda zangu pale posta, kama kuna mtu au office fulani nawatafuta, naweza kupaki gari nje ya office umbali hata wa meter kadhaa, nikafungulia router powerful na internet yenye kasi, wabongo wengi hakuna kitu tunapenda kama mtelezo, mtu anaona hii wifi ipo open hapo hapo ana connect.. anaona speed inasoma 2mb/sec anasema mungu anipe nini mimi?!🤣😂😁

Hio inaitwa man in the middle attack, hapo ku akuwa na mtu wa kati ambae anaingilia mawasilano kati ya sehemu mbili, either client na client au client na server... client na server/client wakijua kwamba ni wao wanawasiliana... they are directly talking to each other kumbe no!!

Wakati kila mawasiliano yote anayaendesha mtu wa kati... licha ya kuingilia tu mawasiliano nakuwa na uwezo wa kuingiza messages zangu binafsi kwa target yangu, mfano mtu anajua anachat na boss wake halafu katikati ya chatting na inject message "nipatie logins za instagram acc ya kampuni" au "hey lizzy samahani hebu tuma kiasi fulani kwa acc no hii" let say mpo kwenye hizi messaging app or whatever..

Mtu wa kati anakuwa na asilimia 90 za kukuhack.. yaani nina impersonates side zote 2 vizuri zaidi, najifanya boss wa kampuni kwako halafu kwa boss najifanya ni mfanyakazi, nawavuruga mpaka baas, ikiwezekeana nakutongoza humo humo ili ufunguke zaidi mfano "ujue nakuelewaga sana.... blah blah"😂🤣🤣 halafu nakupiga sasa "hebu nitumie.1....2....3" hapo wewe huamini kama boss amekutongoza, kumbe ni mshenzi anakuchezesha na false messages...😂😁😂🤣

Thats why kuna website nowdays wana encrypt na kuna kitu kinaitwa https, http over ssl/http over tsl, http inakuwa encrypted kutumia ssl au tsl, kwa sasa ni ssl...
Ina secure communication ili kujilinda dhidi ya man in the middle attack...

Hata whatsapp na messaging apps nyingi wana encrypt taarifa zako zote, ile end to end encryption...

Kama ni website za manunuzi mtu akijua logins zako basi anakuibia, thats why browser siku hizi isipokuwa na ssl, basi kuna warning wanakupa kwamba you are not safe... nitakuonesha mfano nikiwa karibu na pc...

Ngoja nikuachie hapo nisiende deep kwenye DNSSEC, HPKP unajua superfish?
😁😁😁
Tuweni makini, SSL sasa zinadukuliwa vizuri tu na kuna tools nyungi za ku decrypt...

Sasa changia basi kiduchu nikupe full course!! 🤣🤣
Yangu ina vent mwalimu so please don't worry 🙂

Embu naomba ni-digest hizo nondo for a minute before I drop my 2 cents.

Ila hiyo namna ya kuwa mbia wa tuma kwa namba hii kijanja zaidi sounds like something I could get ďown with 🙈🙈 so....more emphasis on that will be highly appreciated mwalimu 😜
 
🤣🤣🤣
Baseband imechezeshwa, simu ninayotumia ku cast na tv na kutumia ku play music kuna jamaa zangu kila wakija wanaweka sim cards..

Nikaamua niichezeshe baseband tu, nibaki kutumia wifi... cause ni simu nilinunua kwa ajili ya casting na kuplay music kwenye bluetooth speakers..

View attachment 2010147
I see.....

Inabidi nao wawe wajanja kukuzidi 🤓
 
Kwan wee ndo msemaji wao? Au wee ndo huniogopi? Hata nikiwa na huo utoto mwingi, wee unakerekwa na kipi?

Nataka waniambie wao wenyewe sio wee, kwann wasiniambie wao had wakutume wee? Sihitaji league na mtu humu, ukiona kwamba unakereka na maandishi yangu, kuna sett ya ignore/block, na iliwekwa kwa ajiri ya kuzuia kitu uschokipenda, so ukini ignore naa kuniblock hutoona upupu wangu unaokukera,

Sipo humu kufurahisha mtu/watu, nipo kwa ajiri ya kuongeza maarifa na ujuzi na kupoteza muda au kusukuma siku, na hakna nilichokosea au kukiuka, ingekuwa hivyo ningeshaonywa au kukatazwa, mbna vingne nakanywa au kurekebishwa? Why hili la maandishi?

Wee una lako jambo, samahan sana hilo n lako, pambana nalo,
Sasa huo u waki niache nao mwenyewe, wala sjakuomba unisaidie msieeeew. Kuwa buzzy na mambo yako. Yangu hayakuhusu.
Kama sababu moja wapo ya kujiunga humu ni kupata maarifa sasa hilo jukumu ni langu la kukufundisha jinsi ya kuandika. Acha utoto hapa JF watu wanajielewa na hakuna anaeandika kitoto kama wewe.

Ndio mimi sikuogopi nakuchana ukweli jirekebishe andika vizuri kama mtu anaejielewa sio unaandika hovyo hovyo tu kama unaandikia watoto wenzako.

Jambo langu ndio hilo tu wala sina jingine. Rekebisha uandishi wako. Unakera, unaboa wala usifikiri watu wanapenda. Unajichoresha tu unavyoandika.
 
Back
Top Bottom