cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Ahsante kwa somo cc angu, mie nlikua najua ni dhehebu eti.Uwata siyo dhehebu.
Ni uamsho ambao mtu wa dhehebu lolote anaruhusiwa kujiunga.
Mtu anabaki na dhehebu lake na ataendelea kusali dhehebuni kwake kama Kawaida ila atatakiwa aende huko faraghani kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app







