kwamba ungekufa nao😂😂😂😂🙌Uume ningekufa nao...is this really?
Ilikuwaje mkuu, asee namuonea huruma sana
Hili jicho nalijua 🤔
Mkokoteni ulipata ajali kwa kugongwa na gari usikuUume ningekufa nao...is this really?
Ilikuwaje mkuu, asee namuonea huruma sana
yaaah pini kali sana ile mastaKuna ile "wimbo usio bora" anasemaje
" Unataka tulee mtoto au malaya wa kesho"
Unalijua ee..safi👊🏿👊🏿Hili jicho nalijua 🤔
Safi 👊🏿👊🏿👊🏿
Najua na hii inakuhusu mtakatifu
Kama ni muhimu basi inabidi kufuata njia nyoofu kuipata.
Ingekuwa rahisi kuipata basi kila mtu angekuwa nayo,na ili uipate ni lazima ukubali kusoma.
Na ili upate uthibitisho(cheti) kwamba umeipata basi ni lazima kupitia mitihani.
Kama mtu hataki mitihani basi asome tu na asifanye mtihani maana anachokitaka ni elimu ..ila hatakuwa na vyeti.
Sent using Jamii Forums mobile app



punguza moto cc,![]()
Usinichekeshe... kuna story moja ya kichekesho inakuhusu sana...
Kuna jamaa alikuwa anaumwa sana halafu ilikua ni village, sasa kufika night homa ikazidi ikabidi majirani wampeleke hospital huo usiku yapata saa 8, basi wakachukua kama kigunia flani wakatengeneza kama machela za kubebea wagonjwa, safari ikaanza pori kwa pori, njia kwa njia kuitafuta zahanati kuokoa roho ya mgonjwa mahututi.
Ebwanaeehh kufika mbele, si wakaona simba!!! Yupo pembezoni mwa njia halafu anawacheki tu, wale wabebaji wakaona ili kunusurika ni bora tumtoe huyu mgonjwa sadaka, simba ana njaa hatari anapiga mihayo tu.
Wakaona wasipo mtoa sadaka, simba atawakamata mmoja wao, wakahesabu 1, 2, 3 fyuuuu!!! Wakamrushia mgonjwa kule simba aliko halafu wakatoka nduki hatari...
Basi walikimbia vibaya sana, wakafika nyumbani wamechoka balaa, kuangalia mlangoni mgonjwa waliyemtupa ameketi mlangoni anakunywa na ujiamefika kitaaambo...
anawauliza mbona mmechelewa hivyo?
Kumbe jamaa kwa uoga wa kuliwa na simba aliporushiwa alimkwepa simba akapata nguvu, akakimbia akawapita wale wazima wote
Nahisi wewe ndio yule mgonjwa..
Nb: not true story




mbavu zangu mie, woiiiiiihSawa bhana,Kama wamesoma vizuri kwanini wadisco?
Mtihani unatungwa kupima kiwango cha uelewa wa somo husika.
Hakuna Mwalimu anatunga mtihani ili mtu adisco,nguvu ya kuelewa ya mwanafunzi ndiyo itakayomfanya adisco au asidisco.
Mbona kuna wanaofaulu ,tena wengi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mweeeh kale kanyoka kalinitisha yaani nilikuwa jikoni nasonga ugali,nimetoka kidogo narudi nakaona kanajizungusha jikoni
niliruka nikaacha ugali jikoni,nikajikuta nipo nje yaani najiulizaga zile ngazi nilizirukaje sipat jawabu
Huo usiku sikulala humo,nilihama mazima![]()






