Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Manda unasukuma kama chapati, unakata pembe 3 then unazibabua.
Manda unasukuma kama chapati, unakata pembe 3 then unazibabua.
Tubadilishane bas cc, kusoma mchezo? Miaka na iende jomonee, khaaaahHonestly speaking nimemiss kusoma.
Nimemiss me na shost angu tulivyokuwa tunaenda jificha madarasa ya watu wa masters tunasoma 'BTW haikuwa msuli ule wa Joni kisomo... Tukitoka tunashtua crew tukazurule clubs![]()
Nimemiss kudoji vipindi vya lecturers wapole... Nilikuwa doja mpk sister alinipa mawaidha ' class yetu tulibarikiwa kusoma na sister ( RC nun
Nimemiss lecture theater 6![]()
Nimemiss free WiFi ya library
Nimemiss kuchill vibetwa..
Nimemiss kula chips na malinjirinji...
Nimemiss kuandika chabo za LAWS mapajanimuda wa kukariri zile Acts sikuwahi kuwa nao.
Shortly nimemiss shule![]()
Nimekumbuka semester ya mwanzo ya mwaka wangu wa mwisho,1st week,1st day mwalimu alitoa assignment tena anataka ya kuandika kwa mkono.,aliingia darasani kulikuwa na Watu wachache,alivyomaliza kufundisha ndio akatoa kazi.
Na ilikuwa kesho yake anaikusanya darasani Muda wa kipindi chake..Yaani anaikusanya kwa Mtu mmoja mmoja.
Napigiwa simu sina hili wala lile,nipo mbeya hata nauli ya kwenda chuo sijatafuta.
Kesho yake darasa lilifurika,Yaani tuliwatuma madogo wa 1st year walijaa darasani wanakula pindi na kutukusanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app



chezea chuo weyeeeh, lolTamu hizi.
Hii assignment'Bsness plan imenikumbusha nilivyofata desa UDOM na nikaja ambulia 5/10
Ilikuwa tunaandika idea unampelekea, ukipeleka anakwambia this is taken katafute nyingine. Alitusumbua sana mpk tukahisi kaokota mtaji anatafuta ideas mbali mbali.




mbavu zangu mie khaaahMapindi siku za mwanzo kawaida tu.
Mimi Kuna mwaka nilifika chuo baada ya wiki,nashangaa mwalimu anatangaza Test 1
Sent using Jamii Forums mobile app




jaman khaaaahNimeandika sana tu za LAWkilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10
Nikiangalia nina LIFO na FIFO zinanisubiri 'hizi huwezi ingia na desa.
Nikachagua Law ya kudesea, mapaja yana rangi cha nini kujitesa na nina ubao natembea nao.![]()






skuwez wee cc, hapa mbavu cna mie lolMwanafunzi bora. It depends na class paper inafanyikia, lecture theater na ule mpangilio wa viti kuibia utakamatika maana unakuta wasimamizi ni 2+
Ila hizi class 'kama uliyopostnikikaa nikapandisha skirt nani atajua? Na msimamizi ni 1




yaan wee cc n kibokoooh lolSept conf n jau jomonee lol, japo sijawahi kufanya hivi.Kushikwa nako ni uzembe mwingine.
Wizi nimeiba cha nani pale? September conference za kujitakia za nini na possible ways zipo




Hao wengine wanakujaga na kuondoka, na kuna yule anayejipitisha dirishani![]()
Somo la timing nahisi nilifaulu





Ndio elimu yetu
Halafu kuna watu wanasema degree ni karatasi tu..akachukue lake kama anadhani karatasi.
Sent using Jamii Forums mobile app




mbavu zang mie, uwiiiihBora niingizwe nyavuni kuliko niingie na karatasi ama nijiandike mwilini.
Ule ni udanganyifu, udanganyifu ni dhambi.
Dah nilivyokuwa muoga yaani wangenishika mapema.
Na wanaokamatwaga ni wale wanaojaribu,,ila wale maexpert wanapeta tu.
Sent using Jamii Forums mobile app






Mzee shibisha nafsiFuatilia hiyo post ya Mshana niliyoikwoti. Tigo wanatoa siri zote za mteja (kama wanavyofanya kwenye kesi ya Mbowe). Baadhi ya watu wanaachana na Tigo kwa sababu hiyo. Hiyo katuni ya Kingo nadhani inaelezea suala hilo hilo...
View attachment 1998519
Wow , hongera mwaya
Mimi sijui Kama nitaweza .
Vipi kuhusu breakfast ?
YutongMzee shibisha nafsiView attachment 1998931
Inahitaji ujasiri sana, sikuwahi kuweza na sidhani kama nitakuja kuweza.Mimi dhambi nachagua
Hata yeye alijua kabisa tumemdanganya maana alitujua kwa sura,kutokana na uchache wetu kwenye hiyo course yake na akafanya fair.
Halafu assignment nilifanya mwenyewe,pale nilisaidiwa tu kuandikiwa na kukusanyiwa.
Level ya kuingia na karatasi kwenye mtihani aisee sikuifikia na sijaifikia Bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Za bakhresa hata sio nzuri, kuna hizo nimesahau jina ni nzuri sana. Lakini pia kutengeneza manda mbona simple tu.Nunua manda ya Bakhressa chap sambusa hizo ...
Unakuta siku unayojaribu ndo unakamatwa.Inahitaji ujasiri sana, sikuwahi kuweza na sidhani kama nitakuja kuweza.