Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ulikuwa unaandika nondo??? Legendary Depal Umenishinda tabia,, nikijenga hall of fame jina lako lazima liwepo
Nimeandika sana tu za LAW🤣🤣 kilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10
Nikiangalia nina LIFO na FIFO zinanisubiri 'hizi huwezi ingia na desa.

Nikachagua Law ya kudesea, mapaja yana rangi cha nini kujitesa na nina ubao natembea nao. 🤣🤣🤣🤣
 
Nimeandika sana tu za LAW kilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10
Nikiangalia nina LIFO na FIFO zinanisubiri 'hizi huwezi ingia na desa.

Nikachagua Law ya kudesea, mapaja yana rangi cha nini kujitesa na nina ubao natembea nao.
Katika vitu sijawahi maishani ni pamoja na kujiandika mwilini,ama kuingia na karatasi.
Na nadhani siku ambayo ningejaribu,ndiyo siku ningekamatwa.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeandika sana tu za LAW kilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10
Nikiangalia nina LIFO na FIFO zinanisubiri 'hizi huwezi ingia na desa.

Nikachagua Law ya kudesea, mapaja yana rangi cha nini kujitesa na nina ubao natembea nao.
Among kitu naogopa ni kuwa na nondo yoyote
 
Mwanafunzi bora. It depends na class paper inafanyikia, lecture theater na ule mpangilio wa viti kuibia utakamatika maana unakuta wasimamizi ni 2+

Ila hizi class 'kama uliyopost nikikaa nikapandisha skirt nani atajua? Na msimamizi ni 1
Sasa hizi people UE class kama hzo ni wasimamiz 3 and lecture theaters ni 6,,, wanafanya patrol kama coplo wa zamu
 
Back
Top Bottom