Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Nilifanya Detox ya mboga za majani na matunda for ten days nilivyomaliza nikawa nashindwa kula chakula kingi na hamu ikakata mpaka sasa hivi
Nimeandika sana tu za LAW🤣🤣 kilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10ulikuwa unaandika nondo??? Legendary Depal Umenishinda tabia,, nikijenga hall of fame jina lako lazima liwepo
Nitakupikia chapati za kusukuma.

Very simple, hata kwa maandishi Una pika na kutoa kitu konki.
Katika vitu sijawahi maishani ni pamoja na kujiandika mwilini,ama kuingia na karatasi.Nimeandika sana tu za LAWkilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10
Nikiangalia nina LIFO na FIFO zinanisubiri 'hizi huwezi ingia na desa.
Nikachagua Law ya kudesea, mapaja yana rangi cha nini kujitesa na nina ubao natembea nao.![]()
😂 za maji mbona rahisi sana.Nitakupikia chapati za kusukuma.
Hizo napika hadi kikaangio kinaniomba poo.
Ila ajabu chapati za maji zinanisumbua.
Sambusa ndio sijui kabisa na sijawahi kujaribu hadi nazeeka hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajitolee mtu jamani anifundishe kwa vitendo.Very simple, hata kwa maandishi Una pika na kutoa kitu konki.
Ngj niipeleke j3 nione atasemajeHii assignment'Bsness plan imenikumbusha nilivyofata desa UDOM na nikaja ambulia 5/10
Ilikuwa tunaandika idea unampelekea, ukipeleka anakwambia this is taken katafute nyingine. Alitusumbua sana mpk tukahisi kaokota mtaji anatafuta ideas mbali mbali.
Hongera 🤣🤣🤣🤣🤣Katika vitu sijawahi maishani ni pamoja na kujiandika mwilini,ama kuingia na karatasi.
Na nadhani siku ambayo ningejaribu,ndiyo siku ningekamatwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana sifaMapindi siku za mwanzo kawaida tu.
Mimi Kuna mwaka nilifika chuo baada ya wiki,nashangaa mwalimu anatangaza Test 1
Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa hizo za maji zilivyo rahisi,mimi zinanisumbua namna ya kumwagia kwenye pan.za maji mbona rahisi sana.
Fanya kama favor,, piga tuone, nikafate juice nile kama mpareNyama ya kusaga + spices 'jana niliziweka hapa.
Au nikate nipige pic? Mechoka bana![]()
Among kitu naogopa ni kuwa na nondo yoyoteNimeandika sana tu za LAWkilinitisha first test napata 3/15 nikaona mbona hapa pagumu? Individual assignment karibu class zima tuna 1/10
Nikiangalia nina LIFO na FIFO zinanisubiri 'hizi huwezi ingia na desa.
Nikachagua Law ya kudesea, mapaja yana rangi cha nini kujitesa na nina ubao natembea nao.![]()
Kila la kheri, ipate marks. Maana kwenda kujimbembelesha kwa lecturer sijui umepungukiwa marks 2 kwa course work jau.Ngj niipeleke j3 nione atasemaje
Ningeshikwa mchana kweupe .Hongera![]()
Mi nimeandika sana vifungu vya sheria.
Mwanafunzi bora. It depends na class paper inafanyikia, lecture theater na ule mpangilio wa viti kuibia utakamatika maana unakuta wasimamizi ni 2+Among kitu naogopa ni kuwa na nondo yoyote
Hii department hainaga hyo na 3/4 wana full or partial blindness,,, wakitoa CA huwaoni chuo,, yaaan utazunguka had mwisho wa duniaKila la kheri, ipate marks. Maana kwenda kujimbembelesha kwa lecturer sijui umepungukiwa marks 2 kwa course work jau.
Kushikwa nako ni uzembe mwingine.Ningeshikwa mchana kweupe .
Huo ni sawa na wizi,na wizi ni dhambi kama dhambi nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hizi people UE class kama hzo ni wasimamiz 3 and lecture theaters ni 6,,, wanafanya patrol kama coplo wa zamuMwanafunzi bora. It depends na class paper inafanyikia, lecture theater na ule mpangilio wa viti kuibia utakamatika maana unakuta wasimamizi ni 2+
Ila hizi class 'kama uliyopostnikikaa nikapandisha skirt nani atajua? Na msimamizi ni 1