Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Huwa tunazitumia manda hizoZa bakhresa hata sio nzuri, kuna hizo nimesahau jina ni nzuri sana. Lakini pia kutengeneza manda mbona simple tu.
ikitokea shughuli , vyakula vinakuwa vingi hivyo ili kusave muda tunatumia hizo za bakhresa ..
Mimi naona zipo poa tu , kila mtu ana mtazamo wake .








.
.

