Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani mchumba acha tu.
Nilitamani kupanda hakuna kulala mchana ili Kesho asubuhi niwe nimefika Dodoma.

Yule mwalimu siji kumsahau.
Na assignment yake hiyo aliihesabia Kwenye coursework.

Ilikuwa bahati hiyo siku anakusanya Kazi hakukagua ID

Ilikuwa mwakajuzi tu,kweli miaka inaenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh mwaka juzi ulikua mwaka wa kwanza?

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
20211104_205213.jpg


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Honestly speaking nimemiss kusoma.

Nimemiss me na shost angu tulivyokuwa tunaenda jificha madarasa ya watu wa masters tunasoma 'BTW haikuwa msuli ule wa Joni kisomo... Tukitoka tunashtua crew tukazurule clubs

Nimemiss kudoji vipindi vya lecturers wapole... Nilikuwa doja mpk sister alinipa mawaidha ' class yetu tulibarikiwa kusoma na sister ( RC nun

Nimemiss lecture theater 6
Nimemiss free WiFi ya library
Nimemiss kuchill vibetwa..
Nimemiss kula chips na malinjirinji...
Nimemiss kuandika chabo za LAWS mapajani muda wa kukariri zile Acts sikuwahi kuwa nao.

Shortly nimemiss shule
ulikuwa unaandika nondo??? Legendary Depal Umenishinda tabia,, nikijenga hall of fame jina lako lazima liwepo
 
Nilikwenda kusoma mahali aisee siku ya kwanza tu darasani bonge la homework tena ngumu kweli kweli. Nilishangaa sana lakini kumbe ndo utaratibu wao. Hakuna kupoteza muda!
Tumepewa assignment ya kuandika business plan,, sasa najiuliza biological science na entrepreneurship wapi na wapi bado cjapata jibu
 
Nimekumbuka semester ya mwanzo ya mwaka wangu wa mwisho,1st week,1st day mwalimu alitoa assignment tena anataka ya kuandika kwa mkono.,aliingia darasani kulikuwa na Watu wachache,alivyomaliza kufundisha ndio akatoa kazi.
Na ilikuwa kesho yake anaikusanya darasani Muda wa kipindi chake..Yaani anaikusanya kwa Mtu mmoja mmoja.
Napigiwa simu sina hili wala lile,nipo mbeya hata nauli ya kwenda chuo sijatafuta.

Kesho yake darasa lilifurika,Yaani tuliwatuma madogo wa 1st year walijaa darasani wanakula pindi na kutukusanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaamn,, hail to the saint
 
Tumepewa assignment ya kuandika business plan,, sasa najiuliza biological science na entrepreneurship wapi na wapi bado cjapata jibu
Hii assignment'Bsness plan imenikumbusha nilivyofata desa UDOM na nikaja ambulia 5/10 😂

Ilikuwa tunaandika idea unampelekea, ukipeleka anakwambia this is taken katafute nyingine. Alitusumbua sana mpk tukahisi kaokota mtaji anatafuta ideas mbali mbali.
 
Back
Top Bottom