Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kule watu wanapika balaa ,kama Simara ...
Mweeee !
Mimi mwenyewe mbabaishaji tu.
Kule Uzi wa vyakula Kuna watu wamebobea,wanapika hatari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niangalie
Mama yangu alikuwa chef hatari ,sijui kwa nini sikujifunza wakati yupo dah ...
.Naona Huu Uzi unaenda Kasi sana..View attachment 1221323
Unajua bhana , naonaga selfie za pilau zako ..
mimi mwenyewe begginer, natamani niende hata cooking class nipate maarifa zaidi .
Man ni mbali sana huko. Kiti tu kinatosha 😂Asante
If I were a man![]()


Man ni mbali sana huko. Kiti tu kinatosha![]()











😂
Hivyo wanaume wanawish wangekuwa kiti?![]()
Mkuu, nafanya revision tu. Usiwe na wasiwasi
Utapendeza SanaDecember nasuka![]()
.Ndio mkuu ni optical digestion.