Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watatuua huu mwaka,, first week na lectures za kufa mtuView attachment 1998396
Honestly speaking nimemiss kusoma.

Nimemiss me na shost angu tulivyokuwa tunaenda jificha madarasa ya watu wa masters tunasoma 'BTW haikuwa msuli ule wa Joni kisomo... Tukitoka tunashtua crew tukazurule clubs 😎

Nimemiss kudoji vipindi vya lecturers wapole... Nilikuwa doja mpk sister alinipa mawaidha ' class yetu tulibarikiwa kusoma na sister ( RC nun

Nimemiss lecture theater 6 🤣🤣🤣
Nimemiss free WiFi ya library 😋
Nimemiss kuchill vibetwa..
Nimemiss kula chips na malinjirinji...
Nimemiss kuandika chabo za LAWS mapajani 😆 muda wa kukariri zile Acts sikuwahi kuwa nao.

Shortly nimemiss shule 😍
 
IMG-20211104-WA0006.jpg
 
Fuatilia hiyo post ya Mshana niliyoikwoti. Tigo wanatoa siri zote za mteja (kama wanavyofanya kwenye kesi ya Mbowe). Baadhi ya watu wanaachana na Tigo kwa sababu hiyo. Hiyo katuni ya Kingo nadhani inaelezea suala hilo hilo...


View attachment 1998519
Niki'ref kile kibonzo chako, means tigo wanatuchungulia 🤣 dah!
 
Watatuua huu mwaka,, first week na lectures za kufa mtuView attachment 1998396
Nimekumbuka semester ya mwanzo ya mwaka wangu wa mwisho,1st week,1st day mwalimu alitoa assignment tena anataka ya kuandika kwa mkono.,aliingia darasani kulikuwa na Watu wachache,alivyomaliza kufundisha ndio akatoa kazi.
Na ilikuwa kesho yake anaikusanya darasani Muda wa kipindi chake..Yaani anaikusanya kwa Mtu mmoja mmoja.
Napigiwa simu sina hili wala lile,nipo mbeya hata nauli ya kwenda chuo sijatafuta.

Kesho yake darasa lilifurika,Yaani tuliwatuma madogo wa 1st year walijaa darasani wanakula pindi na kutukusanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka semester ya mwanzo ya mwaka wangu wa mwisho,1st week,1st day mwalimu alitoa assignment tena anataka ya kuandika kwa mkono.,aliingia darasani kulikuwa na Watu wachache,alivyomaliza kufundisha ndio akatoa kazi.
Na ilikuwa kesho yake anaikusanya darasani Muda wa kipindi chake..Yaani anaikusanya kwa Mtu mmoja mmoja.
Napigiwa simu sina hili wala lile,nipo mbeya hata nauli ya kwenda chuo sijatafuta.

Kesho yake darasa lilifurika,Yaani tuliwatuma madogo wa 1st year walijaa darasani wanakula pindi na kutukusanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa mchumba

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Ahaaa mchumba

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Yaani mchumba acha tu.
Nilitamani kupanda hakuna kulala mchana ili Kesho asubuhi niwe nimefika Dodoma.

Yule mwalimu siji kumsahau.
Na assignment yake hiyo aliihesabia Kwenye coursework.

Ilikuwa bahati hiyo siku anakusanya Kazi hakukagua ID

Ilikuwa mwakajuzi tu,kweli miaka inaenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom