Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weekend Si ndioo hii sasa
1570187272991.jpeg
 
Hapana nimeingia muda si mrefu nikakuta kuna mtu kanitag wakati naperuzi nikaona jinsi mnavyo discuss...

Nikasema sasa hawa si tulikubaliana na mshanah kuwa uzi wake uendelee kama title inavyoeleza sasa kuanza kunihusisha katika mazungumzo yenu wakati nimewaachia nafasi ni kero..

Ila kama mnataka huu uzi ufungwe ni sawa, nitarudi na hadithi nzuri, ili nipate LIFE BAN vizuri...

Mkuu,ukirudi nitag...hata mie natamani life ban

Hakikisha hadithi yako inakuwa nzuri kweli sasa​
 
Yeah huku JF tukitofautiana tunabishana tukifurahishana tunalaikiana maisha yanaendelea no holding grudges, kwanza I am a Leo na sifa yetu kuu we don't hold grudges
Kiukweli mi kukasirika humu nakasirikaga sana tu ila ambacho sitaki ni kumewekea kinyongo mtu nisiemjua akinikwaza zaidi namalizana nae pm ikigoma namuignore na sitajibu chochote kwake na ikitokea akanifurahisha pahala nagonga like natembea

Ila kubishana sana kama wewe humu niwe honest siwezi mara nyingi nikiona mtu kanizidi nampa ushindi naamsha popo,,

maisha magumu huku kitaa na humu napo iwe hivyo booooh hapana tusifikishane huko
 
Back
Top Bottom