Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,621
- 69,358
Tena mi sijui kuchamba mi natukana ila siku hizi nimepunguza ila kuna kambinu kapya nimekaanzisha mtu anajaa weeeee halafu analipuka mwenyewe nakaa kando naburudika
kwanini eti jamani?? Wakati mimi ndiyo naona sikufikii wewe kwa vichambo!! Vile vichambo mlivyompa yule kaka ningepewa mimi ningetoka JF milele



mno last weekend... Tunaye hapa ila kakausha kabisa... Nami nimeheshimu msimamo wake huo... Kesho tunaweza kufanya featuring... 







.... Wanaobeza acha tu wabeze