Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wow, just wow, your level of stupidity has rendered me speechless, bruh.
Nimepitia baadhi ya nyuzi zako nimegundua bado ni kijana mdogo sana, anyway mimi kama kaka yako nakushauri upambane na shule kwanza kukesha kwako mtandaoni na kuwafuatilia wasanii hakutokusaidia chochote katika kesho yako...

Tena nimegundua hukufaulu kidato cha nne na hivyo kupelekea wewe kutokuendelea na kidato cha nne na hivyo kusomea certificate sijui ya kozi gani na sasa unasubili kujiunga na diploma sijajua kama gpa yako ya certificate inakuruhusu kuendelea na ngazi inayofuata...

Una safari ndefu ya maisha na hujaona mengi, hivyo ningependa ukazane na shule kwanza usiruhusu utandawazi ukutawale na hivyo kuharibu future yako nzuri uliyoandaliwa huko mbeleni na Mungu...
 
Wanaume wa huku hawapendi kubishiwa. Ukibisha wanaona kama unawadharau
Ni wanaume wote mama yangu siyo hawa tu, na ndiyo maana wanakuwa disturbed sana na women empowerment maana walishazoea maisha ya babu zetu na bibi zetu wanawake walikuwa hawana sauti chochote watakachoambiwa wao ni "ndiyo mume wangu" which is kinda difficult kwa dunia ya sasa kwa kweli.
 
kabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku
Unatakiwa unipate mimi ili nikupatie kitu roho inapenda. Njoo nikuoe basi
 
Back
Top Bottom