haya kazi kwenu...shughuli na ianzeNilikuwa darasani 😂
Weee nani kasema?? Uliona wapi ng'ombe anajipeleka machinjioni mwenyewe??Unatakiwa unipate mimi ili nikupatie kitu roho inapenda. Njoo nikuoe basi
acha woga weweWeee nani kasema?? Uliona wapi ng'ombe anajipeleka machinjioni mwenyewe??
Kwani best wewe haupo kwenye list yake usisahau ulitoa tusi jamaa akapaniki![]()



yaani akaja juu kama moto wa kifuu, mimi ngoja niandae kwanza popcorn halafu nitasikilizia upepo unavyoenda nijue kama naweza kuingia au niwe mpenzi msomaji tu.We ushashinda shindano hata kabla ya kuanza. Mimi nshakupigia kuraHuu uzi udumu milele.
Huu uzi hautakaa ufutwe.
.
Mshana shindano linaanza saa ngapi nianze kutupia picha.
Kiruu mbona umemuita huyo sasa??
Hivi kweli dunia inalizunguka jua ?
Nasubiria kwa shauku.
Palipo na hii jinsia ya pili lazima haya mambo yawepo. Wenzetu kwa mashindano wanajitahidiuzi umegeuka wa mipasho badala kutupia picha
jamani sisi tunataka kuona neema za Allah
Kuna tetesi za chini ya kapeti jamaa ataanza nawe kuchomoa betri so jiandae😀😀😀😀yaani akaja juu kama moto wa kifuu, mimi ngoja niandae kwanza popcorn halafu nitasikilizia upepo unavyoenda nijue kama naweza kuingia au niwe mpenzi msomaji tu.
Nikuone basianza kutupia saivi zitafanyiwa uchambuzi baadae, naamini utashinda maana hyo shape uliyonayo sio mchezo
Wakaka wazuri kama hawa huwakuti wanajisifu wenzangu na mimi sura za Sokwe tunasumbua mbaya, hii picha yako naihifadhi kwa matumizi yangu binafsi 😀😀😀View attachment 1223444
Moja haitodhuru 🤣🤣🤣,,, unitag ulipoweka sura yako sasa.
Weee nani kasema?? Uliona wapi ng'ombe anajipeleka machinjioni mwenyewe??
Hapana ni mifugo wa mkoani kabisahao watakuwa mifugo wa kinondoni.
Damn I know you





Nakupa miaka mia uthibitishe hilo,najua hutaweza.Ndiyo!