Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,361
- 176,180
Yaani ndio niko njiani sema nimepata ajali kidogo nimejikwaa nikaanguka. Unitueeee lazima nifike hata nikaanguka mara 50.Kausha.. Halafu ole wako upeleke umbea na majungu![]()
Yaani ndio niko njiani sema nimepata ajali kidogo nimejikwaa nikaanguka. Unitueeee lazima nifike hata nikaanguka mara 50.Kausha.. Halafu ole wako upeleke umbea na majungu![]()
Licha ya mapungufu mengine madogo madogo una busara SanaMwalimu wangu mmoja wa O level alisemaga ukiona watoto wako hawagombani jua wana kichaa. Maana binadamu kiasili hatuwezi kufanana mitazamo



Mwalimu wangu mmoja wa O level alisemaga ukiona watoto wako hawagombani jua wana kichaa. Maana binadamu kiasili hatuwezi kufanana mitazamo
Nakumbuka jana tulikubaliana kabisa hakuna haja ya kuendelea majibizano katika uzi wako, ila nimeingia naona bado kuna watu wanaendeleza ujuaji, halafu wengi wao ni mabinti wadogo tu, tena wengine ni kwamba wapo vyuoni bado na wengine ndio wanategemea kuhitimu mwaka huu, wengine ni walimu...
Nimetoa tu angalizo, wasione nimekaa kimya wakadhani siwezi kuna na vivid evisence na hapo ndipo uzi huu utafungwa na mimi kula LIFE BAN na pia kuna watu watakimbia ID zao...
Ongea na wadogo zako hao...
Ah mimi siwezi kukasirika kwa haya mabishano ya humu JF ambayo watu hatujuani huwa nakasirika kwa yale mabishano ambayo nabishana na mtu live au kwenye simu ambaye tunajuanaHahahaha mi nikichukia hata kuandika siwezi,, saiv mtu akiniboa naenda mahali pakimya narelax kwa muda nikirudi namlia timing namla kichwa
Safiiii💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼
Vipi tena?Aaah wewe!!
Umeona eenh?? Sasa ndiyo wanaume wengi wa humu JF walivyo hivyo!!Sipendi sipendi sipendi mtu anaetaka kubishana ili abishe tu. Unakuta limtu halina fact ila linakubishia. Unaweza tamani umpige
Ah mimi siwezi kukasirika kwa haya mabishano ya humu JF ambayo watu hatujuani huwa nakasirika kwa yale mabishano ambayo nabishana na mtu live au kwenye simu ambaye tunajuana
Yaani hayo ndiyo huwa nakasirika hasa kama mtu ninayebishana naye hana hoja na mimi hasira zangu huisha kwa kulia na kulala nikiamka nimesamehe na nimesahau kila kitu and we're good
Ila nimekumbuka kuna ex wangu mmoja hivi kuna siku nilienda naye evening walk wakati tunatembea tukaanza kubishana kuhusu dunia na jua mimi nilikuwa nasema dunia ndiyo inalizunguka jua yeye akawa anasema jua ndiyo linaizunguka dunia aise tulibishana njia nzima kama vichaa
Halafu alikuwa serious kakomaa kabisa yaani tulibishana hadi kichwa kiliniuma nikashikwa na hasira kufika nyumbani nikalala kuamka asubuhi akanitafuta ananiambia eti "sasa na wewe ulikasirika nini wakati mimi nilikuwa nafanya makusudi tu kubishana na wewe na ninajua kabisa kwamba dunia ndiyo inalizunguka jua" aise nilitamani kummeza yaani ila utoto raha sana
Its alright big bro... Ni wadogo zetu sometimes we have to act big n grown up... Ina tafsiri yake kubwa sanaNakumbuka jana tulikubaliana kabisa hakuna haja ya kuendelea majibizano katika uzi wako, ila nimeingia naona bado kuna watu wanaendeleza ujuaji, halafu wengi wao ni mabinti wadogo tu, tena wengine ni kwamba wapo vyuoni bado na wengine ndio wanategemea kuhitimu mwaka huu, wengine ni walimu...
Nimetoa tu angalizo, wasione nimekaa kimya wakadhani siwezi kuna na vivid evidence na hapo ndipo uzi huu utafungwa na mimi kula LIFE BAN na pia kuna watu watakimbia ID zao...
Ongea na wadogo zako hao...
Aaaah Mr perfect weeeeeh!! Mzee mwenye kazi yake dunia mzima hakuna, mwenye mke malaika, mtu busy kwelikweli. Mzee mwenye maevidence na vitisho vyake.Nakumbuka jana tulikubaliana kabisa hakuna haja ya kuendelea majibizano katika uzi wako, ila nimeingia naona bado kuna watu wanaendeleza ujuaji, halafu wengi wao ni mabinti wadogo tu, tena wengine ni kwamba wapo vyuoni bado na wengine ndio wanategemea kuhitimu mwaka huu, wengine ni walimu...
Nimetoa tu angalizo, wasione nimekaa kimya wakadhani siwezi kuna na vivid evidence na hapo ndipo uzi huu utafungwa na mimi kula LIFE BAN na pia kuna watu watakimbia ID zao...
Ongea na wadogo zako hao...




Unamfuata aliyekukwaza mmalizane pm?Kiukweli mi kukasirika humu nakasirikaga sana tu ila ambacho sitaki ni kumewekea kinyongo mtu nisiemjua akinikwaza zaidi namalizana nae pm ikigoma namuignore na sitajibu chochote kwake na ikitokea akanifurahisha pahala nagonga like natembea
Ila kubishana sana kama wewe humu niwe honest siwezi mara nyingi nikiona mtu kanizidi nampa ushindi naamsha popo,,
maisha magumu huku kitaa na humu napo iwe hivyo booooh hapana tusifikishane huko