Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana nimeingia muda si mrefu nikakuta kuna mtu kanitag wakati naperuzi nikaona jinsi mnavyo discuss...

Nikasema sasa hawa si tulikubaliana na mshanah kuwa uzi wake uendelee kama title inavyoeleza sasa kuanza kunihusisha katika mazungumzo yenu wakati nimewaachia nafasi ni kero..

Ila kama mnataka huu uzi ufungwe ni sawa, nitarudi na hadithi nzuri, ili nipate LIFE BAN vizuri...
Usitutishe wewe.
Huu Uzi hautafutwa maana hamna atakayekujibu.
Na ukinizungumzia Mimi nitakuja kukujibia kwenye nyuzi zako.
HUU UZI HAUFUTWI MAANA HATUTAKUJIBU KWA HIYO HIVO VITU KAVIPOST KWENYE UZI WAKO.
 
Natumai nyongo zimetemwa na yameisha

Unasisitiza kurudi,, utakaporudi usifikie humu kwenye uzi huu
Hapana nimeingia muda si mrefu nikakuta kuna mtu kanitag wakati naperuzi nikaona jinsi mnavyo discuss...

Nikasema sasa hawa si tulikubaliana na mshanah kuwa uzi wake uendelee kama title inavyoeleza sasa kuanza kunihusisha katika mazungumzo yenu wakati nimewaachia nafasi ni kero..

Ila kama mnataka huu uzi ufungwe ni sawa, nitarudi na hadithi nzuri, ili nipate LIFE BAN vizuri...
 
Ah mimi siwezi kukasirika kwa haya mabishano ya humu JF ambayo watu hatujuani huwa nakasirika kwa yale mabishano ambayo nabishana na mtu live au kwenye simu ambaye tunajuana

Yaani hayo ndiyo huwa nakasirika hasa kama mtu ninayebishana naye hana hoja na mimi hasira zangu huisha kwa kulia na kulala nikiamka nimesamehe na nimesahau kila kitu and we're good

Ila nimekumbuka kuna ex wangu mmoja hivi kuna siku nilienda naye evening walk wakati tunatembea tukaanza kubishana kuhusu dunia na jua mimi nilikuwa nasema dunia ndiyo inalizunguka jua yeye akawa anasema jua ndiyo linaizunguka dunia aise tulibishana njia nzima kama vichaa

Halafu alikuwa serious kakomaa kabisa yaani tulibishana hadi kichwa kiliniuma nikashikwa na hasira kufika nyumbani nikalala kuamka asubuhi akanitafuta ananiambia eti "sasa na wewe ulikasirika nini wakati mimi nilikuwa nafanya makusudi tu kubishana na wewe na ninajua kabisa kwamba dunia ndiyo inalizunguka jua" aise nilitamani kummeza yaani ila utoto raha sana
 
Safi

Hili limbwata la Mshana ni komesha kila mtu ana busara tangu juzi no ban no fujo no nini

Nazidi kukupenda
Usitutishe wewe.
Huu Uzi hautafutwa maana hamna atakayekujibu.
Na ukinizungumzia Mimi nitakuja kukujibia kwenye nyuzi zako.
HUU UZI HAUFUTWI MAANA HATUTAKUJIBU KWA HIYO HIVO VITU KAVIPOST KWENYE UZI WAKO.
 
Back
Top Bottom