Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Rafiki naomba usiendeleze hii mada pliz.
Wameshatoa nyongo zao wamemaliza maisha yamesonga.
Kuandika tena hapa mnaweza mkaishia huko unapopasemea na haitakua poa.
Mshinde shetani
Wameshatoa nyongo zao wamemaliza maisha yamesonga.
Kuandika tena hapa mnaweza mkaishia huko unapopasemea na haitakua poa.
Mshinde shetani
Niko nawaangalia tu, ila najua siku nikirudi najua nitapigwa LIFE BAN maana kuna watu watakimbia ID zao kimoja hapa...
Naona Mshana Jr anawaunga mkono wakati jana tulikubaliana kuwa hakuna haja ya kuendeleza majibizano maana content ya uzi wake utaharibika...
Wasione nimekaa kimya wakadhani huyu tumempatia...



... Wakati na fungu nshatenga kabisa na alarm kama zote... Na excuse kama zote
