Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si umnyamazie tu na wewe? Msamaha umeomba bado hataki kimya nalo ni jibu eti
Unaona sasa. Yani nimejishusha bado unataka league. We mtu gani unapenda vita? Sio kila vita ya kupigana mkuu. Mi nimechagua amani kwenye hii vita yako unayoniletea.
Nimekwambia yaishe ila bado unanikalia kooni.

Au kuna kitu nimekukosea nikuombe msamaha?
Sipendi makwazo yasiyo na maana hasa kwa mtu asienifahamu.
 
Tena mi sijui kuchamba mi natukana ila siku hizi nimepunguza ila kuna kambinu kapya nimekaanzisha mtu anajaa weeeee halafu analipuka mwenyewe nakaa kando naburudika
Unajaza watu upepo au sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
We unanijua sasa siwezagi kuandika gazeti nikichoka sana kama hilo dude hapo na mzigua ....natukanaga

eeh hii ndo weakness yangu short temper nikaona wengi ndo wanapolalia na wakawa wananionea kweli nalambwa ban wakati uchokozi wanaanza wao,, sasa gia ya saiv ni nzito mtu namchokoza mpaka alipuke halafu nakaa kando namchora kwa raha zote @Karma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
 
Unajua huyo anayejadiliwa mambo yalianzaje mpk ikawa hivyo?!
Kama wewe upo jf kutafuta manzi usihisi wote tuna lengo hilo Hilo
Nafuatilia kuanzia mwanzo, na mwenye uzi alishaasa yakaisha ila bado yanaendelea na Mshana Jr kaacha mtu ajadiliwe bila yeye kuwepo kujitetea, akiguswa mwingine mmmh anyway ngoja niwe mtazamaji
 
Unaona sasa. Yani nimejishusha bado unataka league. We mtu gani unapenda vita? Sio kila vita ya kupigana mkuu. Mi nimechagua amani kwenye hii vita yako unayoniletea.
Nimekwambia yaishe ila bado unanikalia kooni.

Au kuna kitu nimekukosea nikuombe msamaha?
Sipendi makwazo yasiyo na maana hasa kwa mtu asienifahamu.
Sawa, amani itawale kikubwa ukweli nimeshakufikishia,kilichobaki ni juu yako kumeza au kutema.
 
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]ukipewa kinywaji ugenini uwezi kataa..
kid__hustler-20190818-0001.jpeg
 
Ila nachokupendea dada mkubwa Ni kitu kimoja tu,huwa hutukani[emoji8][emoji8]

Jana pale juu sijui lile tusi lilikutokea wapi bado natafakari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi burudani tuu... HUU uzi binafsi na kipekee umenifaa sana... Nimepata rafiki tuka chill [emoji934] mno last weekend... Tunaye hapa ila kakausha kabisa... Nami nimeheshimu msimamo wake huo... Kesho tunaweza kufanya featuring... [emoji39][emoji39][emoji39][emoji7][emoji86][emoji123][emoji109][emoji817][emoji419][emoji625][emoji779].... Wanaobeza acha tu wabeze
Wacha we!!!
 
Back
Top Bottom