Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
Hahahaha mi nikichukia hata kuandika siwezi,, saiv mtu akiniboa naenda mahali pakimya narelax kwa muda nikirudi namlia timing namla kichwa
 
Sipendi sipendi sipendi mtu anaetaka kubishana ili abishe tu. Unakuta limtu halina fact ila linakubishia. Unaweza tamani umpige
nahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
 
Hakuna aliwai kushindana na mwanamke akashinda ,yule kayakanyaga mtoto wa kiume unaanzaje kubisha na mdada tena unamchamba kabisa yani unamkosoa ....
Huo ndo u-james delicious mwanaume unavunga tu yapite
Usiendeleze mada na mimi mkuu, we endelea kusoma comments enjoy pic bhaaaaaaasi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Niko nawaangalia tu, ila najua siku nikirudi najua nitapigwa LIFE BAN maana kuna watu watakimbia ID zao kimoja hapa...

Naona Mshana Jr anawaunga mkono wakati jana tulikubaliana kuwa hakuna haja ya kuendeleza majibizano maana content ya uzi wake utaharibika...

Wasione nimekaa kimya wakadhani huyu tumempatia...
Achana nao tuendelee kuenjoy Pics +Comments
 
Niko nawaangalia tu, ila najua siku nikirudi najua nitapigwa LIFE BAN maana kuna watu watakimbia ID zao kimoja hapa...

Naona Mshana Jr anawaunga mkono wakati jana tulikubaliana kuwa hakuna haja ya kuendeleza majibizano maana content ya uzi wake utaharibika...

Wasione nimekaa kimya wakadhani huyu tumempatia...
Nilikuwa naumia roho nikihisi tunajichosha kuandika na wewe upo bize na kazi hauna hata muda wa kusoma kumbe unafuatilia hatua kwa hatua.
 
Back
Top Bottom