Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi ninachonishinda Ni mvivu kuongea na nna speed ya Kobe..bila hivyo walahi mbona watu wamgejuta.

Upo kwenye Sala zangu
 
unaolewa vizuri na mbwembwe zote zinaisha
 
Ungemtumia pm huyo mkeo
Nimeweka kila kitu mahala pake.


Vya hadharani ni kwa hadhara na vya siri sirini.

Naongea na yeye bibie,unaelewa nini unapoambiwa "khasa" ? au "kuwakilisha wingi kwa kukusudia umoja " ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…