Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Hips don't lieiChat n picha
View attachment 1888409
Hips don't lieiChat n picha
View attachment 1888409
Haha wewe BaeHips don't liei
Nakusubiri 😂Hahaha usijari bae
Sijui na Mimi nijifunze kuvaa surualiChat n picha
View attachment 1888409
Hahaha dah, kisa niniSijui na Mimi nijifunze kuvaa suruali
Kupendana sio kulishana, maana unaweza lishwa kwa unafiki pia. Ila nahisi ni caring maana huwezi kumcare mtu usiyempenda. Najua unajua banaa![]()
Nilishapitia.. I know how beautiful is to love & to be loved.... Ushawahi bebea mamsap wako handbag? Kumlisha je? Kumtolea mifupa kwenye samaki?Public places likely kwenye ma restaurant huko Bila kujali macho ya watu... I've such experience.




Hii naipata sasa Hivi nimejikuta nimerudia usichana
Yaani caring ni kitu amazing sana
Muda wote mnajihisi mpo wawili tu
Leo nimeenda job nimevaa tshet yake
Sijui hata Kwa nini nimevaa![]()





Nimeona amependeza.Hahaha dah, kisa nini
Ankali wako nimejishibia madafu mchana huu nimeamua nijiburudishe kwa kucheza mziki kidogo hapa😄😄😄Abee Ankaliiii.....
Umekula
Umeshiba
Unafanya nini![]()
Ila wewe 🤣🤣🤣 usijaribu.Sijui na Mimi nijifunze kuvaa suruali
Hebu jaribu siku nione. Uzuri suruali haimkataagi mtuNimeona amependeza.
Caring to the beloved one ni balaa. 😍 Mnatamani mfukuze wengine duniani mbaki wenyewe.Hii naipata sasa Hivi nimejikuta nimerudia usichana
Yaani caring ni kitu amazing sana
Muda wote mnajihisi mpo wawili tu
Leo nimeenda job nimevaa tshet yake
Sijui hata Kwa nini nimevaa![]()
Acha tu 😬😬😬Sasa kama unakula ule wa Butter toast'super loaf unaanzaje kuukinai? Ni ngumu
Wasukuma mikokoteni hawana uwezo wa kufuga kambwa kama kako kamanunu.Hivi humu wajubaa wasukuma mikokoteni hakuna eeh maana naona km niko pekee yangu
Anashindilia kwa kale kamwili simple.Unajua maana na kushindilia menu..huyo Lizzy anakula mbona kidogo sana,telling from her pictures
Lizzy una mdogo wako wa kike?