Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Annie hujawahi kukosaSafi sana Nige

Annie hujawahi kukosaSafi sana Nige

Nafika tu na kukutana na pichaAnnie hujawahi kukosa![]()

Annie ametokea kama upepoNimeshangaa sanakwahiyo ulikuwa around au notification ziko on?
Dah haufai![]()


🤣🤣 pombe za maandishi? Hongera sanaNimekuja Kama upepo
Tangu mnifundishe pombe basi kichwa kimekuwa chepesi sana kuwahi mambo.
Na kwenye jf App hatutegemei notifications.Annie ametokea kama upepo![]()
Annie unaharibu sasa, kung'aa tenaAlivyokuwa mzuri Sasa
Anang'aa balaa.

Itapotea kabla giza halijaingia 😂
Nishaisave
Annie ametokea kama upepo![]()
Ukweli ni kwamba wale watu walinijaza upepo hadi nikapiga pafu mbili pale ile wine..pombe za maandishi? Hongera sana
Nige wewe handsome balaaaAnnie unaharibu sasa, kung'aa tena![]()
Ankali wa Taifa!😍😍😍
Na kwenye jf App hatutegemei notifications.
Tunakuja tu kama upepo wa kisulisuli.


Nina picha za toka mwaka juzi na hazijapoteaItapotea kabla giza halijaingia![]()

Hahah hata ukiunganisha hauwezi pata picha kamili AnnieNige wewe handsome balaaa
Kuna picha yako ya mwaka jana ninayo.
Ya kiatu na jeans.
Ngoja niendelee kuziunganisha,baadaye nitapata picha kamili.
Ulikunywa ile Amarula?Ukweli ni kwamba wale watu walinijaza upepo hadi nikapiga pafu mbili pale ile wine.
Yaani walinimiminia kabisa pale,wakaanza upya kunijaza upepo,eti si unaona haya ni maziwa kabisa
Bahati nzuri nilipata dharula nikaondoka fasta...bila hivyo yaani ningetoka pale nimelewa.
Nasema uongo ISO M.CodD
Hadi Sasa imebaki kidogo tu nipate picha kamiliHahah hata ukiunganisha hauwezi pata picha kamili Annie