Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukweli ni kwamba wale watu walinijaza upepo hadi nikapiga pafu mbili pale ile wine.
Yaani walinimiminia kabisa pale,wakaanza upya kunijaza upepo,eti si unaona haya ni maziwa kabisa


Bahati nzuri nilipata dharula nikaondoka fasta...bila hivyo yaani ningetoka pale nimelewa.
Nasema uongo ISO M.CodD
Ulikunywa ile Amarula?

Ushakuwa cha pombe tayari.... Afu we Dar si mgeni? Huijui mitaa zaidi ya home tu ilikuwaje?
 
Back
Top Bottom