Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Na hiyo simu itapotea / kuingia kwenye maji. Na utasahau password ya google photos kwa jina la Yesu 🙏Nina picha za toka mwaka juzi na hazijapotea
Hata zako zipo,kipindi uzi unaanza.
🤣🤣🤣🤣
Na hiyo simu itapotea / kuingia kwenye maji. Na utasahau password ya google photos kwa jina la Yesu 🙏Nina picha za toka mwaka juzi na hazijapotea
Hata zako zipo,kipindi uzi unaanza.
Haki ya naniUlikunywa ile Amarula?
Ushakuwa cha pombe tayari.... Afu we Dar si mgeni? Huijui mitaa zaidi ya home tu ilikuwaje?
Hahaha maneno tu hayoHadi Sasa imebaki kidogo tu nipate picha kamili
Hii simu ishaingia hadi kwenye uji wa Moto na ikaponaNa hiyo simu itapotea / kuingia kwenye maji. Na utasahau password ya google photos kwa jina la Yesu
![]()

Subiri utaonaHahaha maneno tu hayo
Nikuongeze na zingine ukamilishe jambo lako AnnieSubiri utaona

Nazikusanya mdogo mdogoNikuongeze na zingine ukamilishe jambo lako Annie![]()



Ukweli ni kwamba wale watu walinijaza upepo hadi nikapiga pafu mbili pale ile wine.
Yaani walinimiminia kabisa pale,wakaanza upya kunijaza upepo,eti si unaona haya ni maziwa kabisa
Bahati nzuri nilipata dharula nikaondoka fasta...bila hivyo yaani ningetoka pale nimelewa.
Nasema uongo ISO M.CodD?
Abee Ankaliiii.....Ankali wa Taifa!![]()



NingeshangaaHaki ya nani
Ilikuwa chungu,siwezi jaribu tena.
Hahah!
Ilikuwa maeneo ninayoishi..



Chungu kama mitishambaNingeshangaa
Amarula ina uchungu sana![]()
Heri wangekupa Smirnoff

Tulikwambia tamu ni saint anna na Smirnoff black ice.Chungu kama mitishamba
mliniambia ni tamu.
Nikanywa tu grand Malt.
Bae uje nayo PM ikiwa haina huo mkono 😂
Nilishakuwa disappointed kujaribu.Tulikwambia tamu ni saint anna na Smirnoff black ice.

Never give up!Nilishakuwa disappointed kujaribu.
Bora nipambane na soda tu![]()
Hahaha usijari baeBae uje nayo PM ikiwa haina huo mkono![]()