Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Abeeeeeeeeeee
Ukweli ni kwamba wale watu walinijaza upepo hadi nikapiga pafu mbili pale ile wine.
Yaani walinimiminia kabisa pale,wakaanza upya kunijaza upepo,eti si unaona haya ni maziwa kabisa


Bahati nzuri nilipata dharula nikaondoka fasta...bila hivyo yaani ningetoka pale nimelewa.
Nasema uongo ISO M.CodD?
 
Chat n picha
IMG_20210811_154046_849.jpg
 
Back
Top Bottom