Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,522
- 235,247
Hadi Sasa sidhani km nitavaa.Hebu jaribu siku nione. Uzuri suruali haimkataagi mtu
Sehemu ninayoshida wote wanavaa,,mimi kichwa kigumu napambana na sketi zangu.
Hadi Sasa sidhani km nitavaa.Hebu jaribu siku nione. Uzuri suruali haimkataagi mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] usijaribu.
Mi nilijifunza sketi ndefu ikaishia kunidondosha kwenye ngazi. Sina hamu tena
Hahaha asiione mama mchungaji hii post jinsi ilivyoiuwa soda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimefurahi unakunywa lite kaka...soda zinaua
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimefurahi unakunywa lite kaka...soda zinaua
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nishamzoea huyoHahaha asiione mama mchungaji hii post jinsi ilivyoiuwa soda
Shida zote za nini hizo 😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee[emoji1787]
Sketi ndefu inabidi utembee taratibu kwa umakini
Hebu tuone 🤣Mwili wangu ni mdogo sana kumlinganisha na yeye
Ila ujiandae na FIRE EXTINGUISHER maana sie ndo kina wale 😃🙈🙈 Au ubadili mawazo mapema 😏Same blood line..aya ufanye mambo lizzy..
Uzuri wote mnatoka hukohuko[emoji1787]Ila ujiandae na FIRE EXTINGUISHER maana sie ndo kina wale [emoji2][emoji85][emoji85] Au ubadili mawazo mapema [emoji57]
Ndio vizuri [emoji23]Shida zote za nini hizo [emoji2]
[emoji3][emoji3]Perfect combination...mimi mwenyewe ni wakutoka hukohuko "mndenyi"..so tutaendanda vizuri.Ila ujiandae na FIRE EXTINGUISHER maana sie ndo kina wale [emoji2][emoji85][emoji85] Au ubadili mawazo mapema [emoji57]
Asante..kwenye harusi nitakupa kitengo cha vinywaji...sorry,i mean kitengo cha decoration.Uzuri wote mnatoka hukohuko[emoji1787]
Hamuwezi kuchomana
Naomba kitengo Cha vinywaji [emoji39]Asante..kwenye harusi nitakupa kitengo cha vinywaji...sorry,i mean kitengo cha decoration.
🤣🤣🤣 Kwahiyo hapo ni moto kwa moto 🤔😁Uzuri wote mnatoka hukohuko[emoji1787]
Hamuwezi kuchomana
Hmmmm 🤔🤔[emoji3][emoji3]Perfect combination...mimi mwenyewe ni wakutoka hukohuko "mndenyi"..so tutaendanda vizuri.
Kumbe "Tukunyema" limewahi kukubalika kabisa 🙂
Aiseeee!!