Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Hadi Sasa sidhani km nitavaa.Hebu jaribu siku nione. Uzuri suruali haimkataagi mtu
Sehemu ninayoshida wote wanavaa,,mimi kichwa kigumu napambana na sketi zangu.
Hadi Sasa sidhani km nitavaa.Hebu jaribu siku nione. Uzuri suruali haimkataagi mtu
Ila weweusijaribu.
Mi nilijifunza sketi ndefu ikaishia kunidondosha kwenye ngazi. Sina hamu tena






Hahaha asiione mama mchungaji hii post jinsi ilivyoiuwa soda





Nishamzoea huyoHahaha asiione mama mchungaji hii post jinsi ilivyoiuwa soda
Shida zote za nini hizo 😃
Aisee
Sketi ndefu inabidi utembee taratibu kwa umakini
Hebu tuone 🤣Mwili wangu ni mdogo sana kumlinganisha na yeye
Ila ujiandae na FIRE EXTINGUISHER maana sie ndo kina wale 😃🙈🙈 Au ubadili mawazo mapema 😏Same blood line..aya ufanye mambo lizzy..
Uzuri wote mnatoka hukohukoIla ujiandae na FIRE EXTINGUISHER maana sie ndo kina waleAu ubadili mawazo mapema
![]()

Ndio vizuriShida zote za nini hizo![]()

Ila ujiandae na FIRE EXTINGUISHER maana sie ndo kina waleAu ubadili mawazo mapema
![]()

Perfect combination...mimi mwenyewe ni wakutoka hukohuko "mndenyi"..so tutaendanda vizuri.Asante..kwenye harusi nitakupa kitengo cha vinywaji...sorry,i mean kitengo cha decoration.Uzuri wote mnatoka hukohuko
Hamuwezi kuchomana
Naomba kitengo Cha vinywajiAsante..kwenye harusi nitakupa kitengo cha vinywaji...sorry,i mean kitengo cha decoration.

.🤣🤣🤣 Kwahiyo hapo ni moto kwa moto 🤔😁Uzuri wote mnatoka hukohuko
Hamuwezi kuchomana
Hmmmm 🤔🤔Perfect combination...mimi mwenyewe ni wakutoka hukohuko "mndenyi"..so tutaendanda vizuri.
Kumbe "Tukunyema" limewahi kukubalika kabisa 🙂
Aiseeee!!