mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Mkoa wa Ruvuma, ukifika Songea unaenda Wilaya ya MbingaMbinga ni wapi
Mkoa wa Ruvuma, ukifika Songea unaenda Wilaya ya MbingaMbinga ni wapi
Mbinga ni wapi
Songea
Mbinga haiko Songea hizo ni wilaya mbili tofauti ambazo ziko ndani ya mkoa wa RuvumaOooh ahsante
Hahaaa huyo kaamua tu kuwakeraMaoni yako ni muhimu ewe mwana SelfikaView attachment 1887246
Unachezea team gani?
Kupendana sio kulishana, maana unaweza lishwa kwa unafiki pia. Ila nahisi ni caring maana huwezi kumcare mtu usiyempenda. Najua unajua banaa 😂kupendana ndio kulishana??
d hiii stage ndio uko nayo sasa hivi??? mnalishana na bae
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yah uko sawa.Mbinga haiko Songea hizo ni wilaya mbili tofauti ambazo ziko ndani ya mkoa wa Ruvuma
Kuna siku nilimuona kule anaulizia Bei ya gari fulani hivi..Mwee mbona hata kule kwenye road trips siyo mdau kabisa siku hizi sijui anashinda wapi

okey.....hand bag nimewahi beba na nilibeba kwasababu yy kuna kitu alikua amebeba ikabd nimsaidie.....hapo kwenye kutoleana mifupa nimeeishia kuona kwenye movieKupendana sio kulishana, maana unaweza lishwa kwa unafiki pia. Ila nahisi ni caring maana huwezi kumcare mtu usiyempenda. Najua unajua banaa![]()
Nilishapitia.. I know how beautiful is to love & to be loved.... Ushawahi bebea mamsap wako handbag? Kumlisha je? Kumtolea mifupa kwenye samaki?Public places likely kwenye ma restaurant huko Bila kujali macho ya watu... I've such experience.




.....tubariki na picha ako mojaKupendana sio kulishana, maana unaweza lishwa kwa unafiki pia. Ila nahisi ni caring maana huwezi kumcare mtu usiyempenda. Najua unajua banaa![]()
Nilishapitia.. I know how beautiful is to love & to be loved.... Ushawahi bebea mamsap wako handbag? Kumlisha je? Kumtolea mifupa kwenye samaki?Public places likely kwenye ma restaurant huko Bila kujali macho ya watu... I've such experience.

Aiseee hili suala lina uzito kiasi ila sio mzaha kiasi kikubwa icho.Maoni yako ni muhimu ewe mwana SelfikaView attachment 1887246
Next timeHaifai... Umeibania sanaaa
Irudiweee
Ndio ni litembo ndugu,,,karibuNi maeneo gani hapa? Litembo? Nikifika Mbinga nitafika hapo

Pananifaa kwa shughuli zangu za kilingeni hapo


lazima uje hapo kwa hayo mamboz yako ndio penyewe hapo
Mbinga ni wilaya iliyopo mkoa wa RuvumaMbinga ni wapi
Ndio ni litembo ndugu,,,karibu![]()
