usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,097
Dhaaa mkate now days umenishinda
Dhaaa mkate now days umenishinda
Sijambo,Ankali wanguAnkali wangu hujambo?![]()
Mie sijambo,,,,sijui wewe ndugu yangu?Hujambo binti /bibie
mawardatMie sijambo,,,,sijui wewe ndugu yangu?
Salama rafiki . ushapata. ChanjoMie sijambo,,,,sijui wewe ndugu yangu?
Fanya upate chanjo Mimi tayari nishapataBado
Vipi wewe ushapata??
Hongera sanaFanya upate chanjo Mimi tayari nishapata

Vizuri sana kwa kunikumbuka hapaAbee
Nimekukumbuka hapa
Vipi hali yako??
Karibu naweVizuri sana kwa kunikumbuka hapa
Hali yangu njema/salama kabisa mpendwa
Karibu tutafune samakiView attachment 1888027
Akhsante sana nakaribiaKaribu nawe View attachment 1888031
Akhsante sana nakaribia

Hiyo ya kusukuma mikokoteni uliiweka lini!Hivi humu wajubaa wasukuma mikokoteni hakuna eeh maana naona km niko pekee yangu

Very beautiful view.... My love for greenish 💚💚Morning..,....View attachment 1887927
Hahahaha kwakua zoezi la chanjo linaendelea vzr tutazuia ile kituHiyo ya kusukuma mikokoteni uliiweka lini!
Leo unakaa lindo Tena?
Ayway mie muokota makopo nipo hapa.
Leo 11 bado siku 3 nilisave ile tarehe.![]()
Mama wa uji niko hapa... Mnapatikana wapi niwaletee uji 😂Hiyo ya kusukuma mikokoteni uliiweka lini!
Leo unakaa lindo Tena?
Ayway mie muokota makopo nipo hapa.
Leo 11 bado siku 3 nilisave ile tarehe.![]()