Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hatimae 🥰🥰
Picha ya mwaka 77 tunajiandaa kwenda Uganda kwenye ile vita na Iddi Amini.

Vipi yale mambo Chakorii au bado unaogopa kuniua kizee miye? Unajua nilishawaambia wajukuu wanitumie nauli in case ukamaliza pension yangu huko Zanzibar? Bila kusahau mazoezi ya utimamu ya kuogelea iwapo nauli ikichelewa kutumwa🙊😜🏃🏻🏃🏻
 
Picha ya mwaka 77 tunajiandaa kwenda Uganda kwenye ile vita na Iddi Amini.

Vipi yale mambo Chakorii au bado unaogopa kuniua kizee miye? Unajua nilishawaambia wajukuu wanitumie nauli in case ukamaliza pension yangu huko Zanzibar? Bila kusahau mazoezi ya utimamu ya kuogelea iwapo nauli ikichelewa kutumwa🙊😜🏃🏻🏃🏻
Tuna ishu gani tena jamani
 
Dah..halafu nimetoka kufanya maombi
Hii itasaidia 🤓🤓
20210806_123931.jpg
20210806_124020.jpg
 

Asante sana kwa maombi baba mtumishi.

Wakati tunasubiri huo wakati wa mimi kuja kuketi pembeni kwenye kile kiti saafi ,basi tuanze kutoa ile emoj iliyoharibu picha.

Nipo chini ya miguu yako baba mtumishi

"Pep Mtumishi mwenzangu,huwa namuelewa sana"

Mtumishi mwenzangu haya maneno yamejaa upako wa kitumishi sana kiasi kwamba ile emoji lazima iondolewe mapema sana nikitoka kwenye 'huduma' 🤣🤣
 
"Pep Mtumishi mwenzangu,huwa namuelewa sana"

Mtumishi mwenzangu haya maneno yamejaa upako wa kitumishi sana kiasi kwamba ile emoji lazima iondolewe mapema sana nikitoka kwenye 'huduma'

Ukifanikiwa kuiondoa ile basi amini nakuambia utakuwa umewashinda wote.

Si unajua vile nakuelewa baba mtumishi .
 
Back
Top Bottom