donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
Mhuni wa bachu



Chonde chonde usiusononeshe moyo wa baba mtumishi akashindwa kuingia magotiniNataka uweke kama hivyo Sasa.
Ondoa ile michoro.
Ukiondoa michoro ile nakuhakikishia nikienda huko na akina ISO sitaonja pombe.
Basi mzigo wako utaukuta kwa Katibu wako. Ila naomba siku nyingine Mlinzi asinizuie kuingia, unajua nilisafiri maili nyingi kuja kukuona Mheshimiwa PM😀🙈🏃🏻🏃🏻Hapana Asante.
Hizi sifa haziwezi pasua kichwa chakoMtumishi mwenzangu huoni hizi sifa zitapasua hiki kichwa kitu ambacho kitapelekea watumishi tusionane physically?
Pamoja na yote, wacha tu niseme ukweli kwamba mtumishi mwenzangu kwamba you really is a 'lady'
Yote kwa yote...atukuzwe yeye aliyetufinyanga kwa mfano wake.
Hii michoro ntaiondoa mama mtumishi, lakini sio leo (Usisahau sijawahi kuwa promisless fella)









.Inabidi tusisononeshane mioyo.Chonde chonde usiusononeshe moyo wa baba mtumishi akashindwa kuingia magotini
I've been thirty something years discovering that the queen of all colors is black.Baba alifanikiwa kuniachia rangi na mguu wake.
#black.
Nasubiri uondoe michoro Mtumishi...
Unaharibu picha nzuri namna ile![]()
Mtumishi una manenoI've been thirty something years discovering that the queen of all colors is black.
Sina shaka miaka mingi ijayo (70) nitakapotwaliwa ntakutana na mzee wetu na kumshkuru sana kwa kutuletea 'a black beauty mtumishi'


Umenilaza bila kula tayari mtumishi mwenzangu.Hizi sifa haziwezi pasua kichwa chako
Na hapa nimeamua nisiende mbali,Nimekusifia kitumishi kwa nidhamu
Nilitamani niende mbali zaidi.
Mama mtumishi hii sehemu iliyobaki ntaimalizia 'magotini'Mtumishi usipoiondoa leo michoro utakuwa unawapa wale jamaa nguvu.
Ujue weekend wameniahidi kutoka na mimi... weekend ndio imeanza hivi.
Hebu fanya kuwapiga gap kabla hawajakuwahi,iondoe ile michoro halafu utakuwa umeshinda.
Naona upo na vijana.
Umenilaza bila kula tayari mtumishi mwenzangu.
Kwa haya maneno nimeshiba kabisa na moyo wangu umejawa furaha isiyo kifani
Mama mtumishi hii sehemu iliyobaki ntaimalizia 'magotini'
Naelekea mlimani weekend hii, and...
'Amin amin nawaambieni' mtu yeyote atakayempa mama mtumishi mvinyo hasira na Bwana itamuwakia.



,unamnyanyasa yatima kweli
Macho yangu yalipotua! Nisamehewe tu🚶🏽♀️🚶🏾♂️🚶🏾♂️View attachment 1883039View attachment 1883041