Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimerudi mjini leo... naanza kumuwinda.

Hanikwepi wallahi

Nimemuona Pep Kama anataka kumtoa Saint Anne kwenye reli... hatutakubali!!

Leo ilibaki kiduchuuu ninunue.
Sijui Shetani gani ameingilia Kati.


Pep Mtumishi mwenzangu,huwa namuelewa sana.

Itabidi muanze upya Sasa,maana Pep alivuruga formations zenu zote.
 
Basi we ukae utuangalie tu
Nimeanza mdogo mdogo na kahawa.

Taratibu nkitafika kwenye wine.
IMG_20210805_005848_4.jpg
 
Back
Top Bottom