Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Eeh ndiwo; irudiweeeee
Kwahiyo unataka Irudiwe Irudiwe![]()
Kwahiyo unataka Irudiwe Irudiwe![]()
Hiyo siyo suti,ni Kaunda😄😄😄Umependeza na hiyo suti
Ila huonekani vizuri.
Shikamoo kakaView attachment 1881392
Chat na Picha
CC Nuzulati , Chakorii , Heaven Sent , Saint Anne ,Karma
Dear Chilita mbona umechagua jina gumu hivyo la Kigogo?MBUKWENYU 😄🏃🏻🏃🏻
Usijali dear HS, itarudiwa kama ulivyoshauri 🙊Eeh ndiwo; irudiweeeee
AiseeView attachment 1881392
Chat na Picha
CC Nuzulati , Chakorii , Heaven Sent , Saint Anne ,Karma
Dear Chilita mbona umechagua jina gumu hivyo la Kigogo?MBUKWENYU 😄🏃🏻🏃🏻
Marahaba rafiki, naomba mlinzi aniruhusu nije nikusalimie. Nimemwomba mara 3 amenikatalia 🙊😭🏃🏻🏃🏻Shikamoo kaka
Kifupi hauruhusiwi kwa sasa salimia nitasikia broMarahaba rafiki, naomba mlinzi aniruhusu nije nikusalimie. Nimemwomba mara 3 amenikatalia 🙊😭🏃🏻🏃🏻
Hi Chakorii vilips flani hivi, za sikuuAsante Daddy SYB kwa kunilinda🧚♀️🧚♀️
Wanawake mkivaa aina hii ya suit na kama umejaaliwa, unatokelezea muno🙊Aisee
Ilo vazi uwa linaniua 🤪
Dashiki suit on point.
Ila picha umeibania.... Iongezweeee
La kimasai iloo.....Takwenyaaa?
Sijui huyu mlinzi umemtoa Nchi gani, yaani nimempa Takrima ya elf 5 nzima ameikataa kuniruhusu niingie??Kifupi hauruhusiwi kwa sasa salimia nitasikia bro
HahahahaKifupi hauruhusiwi kwa sasa salimia nitasikia bro
Sawa bro nakusikiaSijui huyu mlinzi umemtoa Nchi gani, yaani nimempa Takrima ya elf 5 nzima ameikataa kuniruhusu niingie??
Usifanye hivyo jirani, nilitaka nikusalimie kwa ukaribu 🙈
HahahahaHiyo siyo suti,ni Kaunda😄😄😄
Mkuu nibariki tumoja mpendwaHahahaha
Ni sutiHiyo siyo suti,ni Kaunda![]()
Naomba niruhusu niingie nikusalimie jirani, alafu kwangu gesi imekata naomba nije nipashe Kiporo changu cha wali 🙈Sawa bro nakusikia
Hahahaha. Tumoja nn ? MpendwaMkuu nibariki tumoja mpendwa
HahahahaNaomba niruhusu niingie nikusalimie jirani, alafu kwangu gesi imekata naomba nije nipashe Kiporo changu cha wali 🙈
Tupicha jamaniiiHahahaha. Tumoja nn ? Mpendwa
Gesi iliyokuwepo kwangu ni kwa matumizi mengine mpendwaNaomba niruhusu niingie nikusalimie jirani, alafu kwangu gesi imekata naomba nije nipashe Kiporo changu cha wali 🙈