Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakati fulani yapata majuma mawili hivi nyuma nilizama kwenye lindi la maombi nikimsihi Bwana kitu kimoja tu.

Nilimsihi ampe mtumishi mwenzanu Anne maisha marefu yenye mafanikio tele

Nilifarijika sana siku ya mwisho nikiwa magotini niliposikia 'mtu wa rohoni' akisema na mimi

Aliniambia, 'Pep mwanangu, inuka sasa uketi na ukale, IMEKUA'

Nilifurahi sana nikatoa 'dhabihu'

Asante sana kwa maombi baba mtumishi.

Wakati tunasubiri huo wakati wa mimi kuja kuketi pembeni kwenye kile kiti saafi ,basi tuanze kutoa ile emoj iliyoharibu picha.

Nipo chini ya miguu yako baba mtumishi
 
Mixer
IMG-20210717-WA0017.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninong'oneze PM nikuletee

Ikikupenda utashangaa inakunenepesha, tena ukipiga na mdudu ndiyo utatisha zaidi
Kunenepa ni hadi niamue mwenyewe.

Sasa mkuu nakunong'onezaje wakati hata sizijui na majina sijakariri,,wamenitajia nyingii majina magumu ili nichanganyikiwe.

Wewe niletee yoyote yenye sukari na isiyonuka kama kinyesi.
Nipo hapa Uyole boss,Asante Sana
 
Kunenepa ni hadi niamue mwenyewe.

Sasa mkuu nakunong'onezaje wakati hata sizijui na majina sijakariri,,wamenitajia nyingii majina magumu ili nichanganyikiwe.

Wewe niletee yoyote yenye sukari na isiyonuka kama kinyesi.
Nipo hapa Uyole boss,Asante Sana
Nitakutafuta nikunyweshe hadi utembee kwa kutambaa. Niko njiani naja 😜
 
Back
Top Bottom