Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
Hahahaha kipenzi bana usihofu kipenzi changuKipenzi changu Hebu nitumie basi japo pm nikuone maana hii mambo ya kusingiziwa sio poa
Hahahaha kipenzi bana usihofu kipenzi changuKipenzi changu Hebu nitumie basi japo pm nikuone maana hii mambo ya kusingiziwa sio poa
Kwenye ile picha kuna kiti safi kabisa cha mtumishi mwenzangu kuketi....tutaonana hapo kabla ya MbinguniPicha haijakamilika .
Utanifanya nianze kujenga taswira mbalimbali kichwani.
Au ndio tutaonana uso kwa uso Mbinguni?![]()
Kuna kitu unataka kuninyima wewe mrembo ushindwe...Shikamoo kaka mjep
Mwee baba MtumishiKwenye ile picha kuna kiti safi kabisa cha mtumishi mwenzangu kuketi....tutaonana hapo kabla ya Mbinguni
Taswira zote ulizo nazo kuhusu baba mtumishi zina ukweli![]()

,mama Mtumishi anataka akuone roho yake ifurahi.Usiku wa deni haukawiii kukucha.
Nakukumbusha.











Sidhani kama kuna kitu kinaitwa" kulewa"Kila kilevi kina kiasi chake cha kulewesha kimeandikwa kwenye Chupa, let's bia X ina 4.8% alcohol kwahiyo ukinywa chupa labda 5 manake utakuwa na kilevi kichwani 24%.
Tena kama itakuwa mara yako ya kwanza lazima uone Dunia inazunguka live![]()
Mtakatifu kuwa mpole tu usiendelee kusema pombe yetu vibaya
Maana siku utakayoja kuijaribu mojawapo basi ndo siku utakayoweza kutunza kumbukumbu za majina ya pombe

Ingekuwa hivyo basi mapadre karibia wote na wakatoliki wangekuwa si watumishi..tungeshawapoteza.Kitendo cha kuzitaja tu tayari tushakupoteza hakuna cha utumishi Tena .
Wacha bhanaHahahaha km movie ya Mr & Mrs Smith .Jane & john smith
Tunaishi kiJF hakuna kunyumba mama😁Kumbe mwenye lips zake naye mwongo mnaishi vipi kunyumba kama ni hivyo
Kipenzi unanishushia jumba bovu ujueHahahaha we imalize tu
Wee usiniambie bhanaKwa kweli sina kipaji cha kupeti peti mpendwa
Hofu nimeshaiondoa kipenziHahahaha kipenzi bana usihofu kipenzi changu
😁😁😁Wee usiniambie bhana
Hivyo ndivyo inavyotakiwa mremboTunaishi kiJF hakuna kunyumba mama😁
Hahaha.......niambie nikulete unywe mbele yangu, hao wengine watapata kilichojiri kupitia Mimi hapa jukwaani.Sidhani kama kuna kitu kinaitwa" kulewa"
Mimi nahisi huwa wanatupiga tu kamba aisee,inakuwaje mtu alewe!?!!
Mimi nadhani siwezi kulewa.
Wakati fulani yapata majuma mawili hivi nyuma nilizama kwenye lindi la maombi nikimsihi Bwana kitu kimoja tu.Mwee baba Mtumishi
Unajua dunia ya sasahivi naweza kuchomoka hata kesho,,
Sasa kukusubiri hadi tukaonane Mbinguni siyo leo wala kesho.
Fanya namna baba,mama Mtumishi anataka akuone roho yake ifurahi.