Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,452
Hahahaha sijamtisha mtoto wa. Watu huyo mkuu tule kwa machoPunguza kutishia mtoto huyo bado hahaha
Hahahaha sijamtisha mtoto wa. Watu huyo mkuu tule kwa machoPunguza kutishia mtoto huyo bado hahaha
Hahahaha mm ni mkali wa kubembeleza hadi machozi natoa ila mtt kawahiwa na wenye maliPunguza kutishia mtoto huyo bado hahaha
Mbembelezo kwa mtoto wa kike muhimu babu wee..loheti kijeshi kwa wataalam.washakusoma ni binti unaependa mabembelezo asa wale man sauti kavu wamekukosa.
nilimaanisha huo mwandiko wako umeandika kijeshi snaMimi nimekuita kipenzi?
Weee usiniambiePunguza kutishia mtoto huyo bado hahaha
Weeeee usiniambie bhanaHahahaha mm ni mkali wa kubembeleza hadi machozi natoa ila mtt kawahiwa na wenye mali
SelfikaWeka na yako basi...
Kwa umbo hili siogopi TOZO wala mwiguluismEid Mubarak wakuu, sijapata mualiko hata mmojandugu zangu waislam nasema hivii tutaonana Christmas akii...
View attachment 1862155
Kila kilevi kina kiasi chake cha kulewesha kimeandikwa kwenye Chupa, let's bia X ina 4.8% alcohol kwahiyo ukinywa chupa labda 5 manake utakuwa na kilevi kichwani 24%.Mimi nilishasema humu siwezi kulewa.
Yaani ninywe Halafu nilewe!!nalewaje??
Haiwezekani!
Huwa hainiingii akilini kabisa kama kuna kitu kinaitwa kulewa.
Dhaaaaaaa hayo machungwa
Kila kilevi kina kiasi chake cha kulewesha kimeandikwa kwenye Chupa, let's bia X ina 4.8% alcohol kwahiyo ukinywa chupa labda 5 manake utakuwa na kilevi kichwani 24%.
Tena kama itakuwa mara yako ya kwanza lazima uone Dunia inazunguka live![]()






dunia inazungukaUsiku wa deni haukawiii kukucha.juhudi zenu zilishazaa matunda
Siwezi kuwaangusha kabisa,ISO anaongea huku anasisitiza kwa ujasiri"piga vyombo wewe"
Ila mmefight sana aiseeeenguvu zenu hazijapotea bure,amini nawaambia.
Kesho naleta picha ya wine humu.
Ni matamu balaaaDhaaaaaaa hayo machungwa