Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Isiwe tu inanuka kama hiyo dompo sijui amarula sijui amalura hata sielewi inaandikwaje[emoji1751]

Yaani hadi Sasa nimetajiwa pombe kibao hadi nachanganyikiwa,sielewi nishike ipi niiache ipi[emoji23]
Mtakatifu kuwa mpole tu usiendelee kusema pombe yetu vibaya
Maana siku utakayoja kuijaribu mojawapo basi ndo siku utakayoweza kutunza kumbukumbu za majina ya pombe
 
Back
Top Bottom