Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Isiwe tu inanuka kama hiyo dompo sijui amarula sijui amalura hata sielewi inaandikwaje

Yaani hadi Sasa nimetajiwa pombe kibao hadi nachanganyikiwa,sielewi nishike ipi niiache ipi
Mtakatifu kuwa mpole tu usiendelee kusema pombe yetu vibaya
Maana siku utakayoja kuijaribu mojawapo basi ndo siku utakayoweza kutunza kumbukumbu za majina ya pombe
 
Back
Top Bottom