Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Sijui college yake.Kumbe dogo anapiga hapo UDBS
Nilikuwa namaanisha kwamba chuo anachosoma Cocastic .
Yeye sijui yupo college gani,
Mimi nimepita tu na ndugu yangu Kuna vitu anafwatilia.
Sijui college yake.Kumbe dogo anapiga hapo UDBS
Such a good reminder!! WaybackBack in the day, Clouds FM had a programme called The Weekenda, every Friday from 1600hrs to whatever. Hosted by ML Chris, Antonio from Cuba, etc. Hella show. This jam takes me back.
View attachment 1875451
Wapi huku mkuu?View attachment 1877314
Hata kama nilisema nina hamu ya karanga, ndiyo mnipe ndoo nzima nimalize kwa kutafuna?
Ndiyo maana waliweza kuzaa hata watoto 10 mtu mmoja, in fact they still look stronger and healthier than ever![]()
Mpwapwa hiyo Mkuu, Karanga kama zoteWapi huku mkuu?
Dodoma kuna karanga Sana.Mpwapwa hiyo Mkuu, Karanga kama zote
KazuriDED mteuliwa...neno moja kwakeView attachment 1877439
Nimeona picha road tripNgosha car wash karibu na mahakama kuu, muosha magari baada ya kuosha gari Ford Ranger akaenda kutamba Makulu akapata ajali kama inavyoonekana hapo, akapata uchizi wa ghafla.leoView attachment 1877445





Picha haijakamilika .Okay mama mtumishi
No more mvinyo
Tuchape kazi sasa


Ukisikia wazee wa kazi ndo hawa sasa...
