Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,838
- 57,476
Haya nipe code nikufikie, Mtwara kubwa ati!😁😁graham..
Leta hizo penshen mtwara huku tuzinunulie chamaki nchanga
Sogea Tiffany Hotel, utakula hizo Chamaki Nchanga hadi ushindwe wewe 🥂😄
Haya nipe code nikufikie, Mtwara kubwa ati!😁😁graham..
Leta hizo penshen mtwara huku tuzinunulie chamaki nchanga
We mumeo au mtarajiwa anakulaga nini Anne.Natamani niishi Daslam niwaone wanaume wa Dar wanafananaje aisee..
Yaani wanakula chipsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima niitafute nijue radha ya mavi.Lugha ni sauti za nasibu...na maneno hayana uhusiano wa moja kwa moja na kitajwa au kirejelewa. Ndiyo maana neno moja linaweza kuwa na maana nyingine katika lugha nyingine. Lugha ni mali ya wanajamii nao wanaweza kuamua lo lote walitakalo.
NB: Juisi hii tamu inapatikana kule Mexico.
View attachment 1792704
Mm nimekumiss sana tupia selfie kdg moyo utulieNimewamiss wallah💞💞💕🥰🥰❣️❣️
Nilijua jibu ni Ugali.
Anakula ugali.
.......Ohooooo😘😘😘🥰🥰🥰
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰..
Ndiyo chakula cha taifa mida ya mchana.kwanini?
HakikaNdiyo chakula cha taifa mida ya mchana.
Vipi bara au visiwani?Nimewamiss wallah![]()
Ntakujaga jaman,

Ndo nini hii tena jamanNani mwingine anajua hii kitu?View attachment 1795388
Hiv hii unalewa saa ngapi?THIS IS THE LITE BEER FOR REAL BEER LOVERSView attachment 1795150