Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20210520-WA0242.jpg
 
Thank you my sister Saint Anne

Lengo la swali langu ni kutaka kujua kama kuna room ya mtu kuwezeshwa na Yesu hali ya kuwa anafanya mambo yasiyompendeza.

Ndio maana nikasisitiza sioni haja ya kutaja ninayo yafanya ila ieleweke ni mabaya sana kwa mujibu wa tamaduni zetu.

Au na wewe ni muumini wa mtu akitaka kujifunza habari za Yesu lazima ajivue nguo kwanza then mambo yaende sawa?
Ukitaka kumfuata ujikane..
Yeye atakupa biashara halali za kufanya na kupitia hizo atafungua baraka zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom