Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,465
Bora ufanye hivyo kuliko kutiana aibu hiyo ya kuvalishwa ndala nyekundu kwa kijani 👏👏👏👏😄😄Mm ndo maana hua najibebea
Open zangu maana kuna kutoka nje
Umesahau hata vocha![]()
Bora ufanye hivyo kuliko kutiana aibu hiyo ya kuvalishwa ndala nyekundu kwa kijani 👏👏👏👏😄😄Mm ndo maana hua najibebea
Open zangu maana kuna kutoka nje
Umesahau hata vocha![]()
Huenda wewe sio mtu wa kusafiri mara kwa mara Saint Anne
AiseeHuenda wewe sio mtu wa kusafiri mara kwa mara Saint Anne
Licha ya kustaafu kwa lazima miaka 12 iliyopita bado nasafiri mno na kufikia nyumba za wageni. Hivyo nimekutana na hizi changamoto ya kuvalishwa ndala zilizopasuliwa mbele au papa na ngulu mara kwa mara
Nilishangaa hata juzi nilipokwendakwa akina Chakorii nilivalishwa
![]()
Mathayo 3:1
Tuache na ndala zetuHuenda wewe sio mtu wa kusafiri mara kwa mara Saint Anne
Licha ya kustaafu kwa lazima miaka 12 iliyopita bado nasafiri mno na kufikia nyumba za wageni. Hivyo nimekutana na hizi changamoto ya kuvalishwa ndala zilizopasuliwa mbele au papa na ngulu mara kwa mara 😄😄
Nilishangaa hata juzi nilipokwenda 🏊🏼🏊🏼kwa akina Chakorii nilivalishwa 😂🏃🏻🏃🏻
Hahaha.....kwa kweli 😄🙌Tuache na ndala zetuView attachment 1793605
Full mishikaki! 🤣 🤣 🤣Mambo ya arumeru hayo wiki hiiiView attachment 1792756
Kwahiyo hapo ndo umeuliza kitu siriazi 😅😅Hahaha.....kwa kweli 😄🙌
Let's talk serious, hivi guu hilo natakiwa nilipie mahali ya ng'ombe wa ngapi kuumiliki??
Nataka niongee na Bibi yako aridhie uwe msaidizi wake, najua kwa uzee huu nahitaji zaidi joto la kigori kama wewe 😋🙈🏃🏻🏃🏻

WasitufokeeeSimba fans....View attachment 1794123







