Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,755
Simba ya siku hizi!😄😄😄
dooooh burudani aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba ya siku hizi![emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1794192
Licha ya kuandika na alama ya kiulizo umeshindwa kuona swali jamani, ila ningekuwa nimekuandikia 2,000 dollars Cheque hata usingeuliza😂😂😂Kwahiyo hapo ndo umeuliza kitu siriazi 😅😅
😁😁graham..Licha ya kuandika na alama ya kiulizo umeshindwa kuona swali jamani, ila ningekuwa nimekuandikia 2,000 dollars Cheque hata usingeuliza😂😂😂
Haya kesho tukutane Forodhani, nimekuletea pension yangu yote kwa ajili yako 😃🙈🏃🏻🏃🏻
Huo ukijani mie napenda sana.
Yaan had mwili ume, sisimka
Fundi km fundi.
Nimeielewa kiukweli.
Guu la kuombea mkopo Bank. [emoji7][emoji7][emoji7]Tuache na ndala zetuView attachment 1793605
Aseeeeeeh, bas tyuuuh sina neno.
Na kwanini Tusikumiss pia kwa mfanoNimewamiss wallah[emoji179][emoji179][emoji177][emoji3059][emoji3059][emoji3589][emoji3589]
Ohooooo😘😘😘🥰🥰🥰Na kwanini Tusikumiss pia kwa mfano
Fanya kazi kwa siku sita na siku ya saba ni ya Bwana..ni siku ya mapumziko...!!! kwako mkalimani[emoji1]Si njia rahisi
Ya kwenda mbinguni
Miiba ni mingi safarini
Vikwazo vipo tele
Lakini najua
Mwokozi Yu pamoja nami
[emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444]
Ooooh Noo
Si njia rahisi×2
Kutembea na Yesu
Kuongoza Safari
Mazito huyarahisisha.
[emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Najipa moyo kwani
Mwokozi aweza
Kunishindia majaribu
Nashinda kwa Imani
Sababu ninaye
Mwokozi aliyenifia
[emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fanya kazi kwa siku sita na siku ya saba ni ya Bwana..ni siku ya mapumziko...!!! kwako mkalimani[emoji1]View attachment 1794891