Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Simba ya siku hizi!😄😄😄
dooooh burudani aisee
Licha ya kuandika na alama ya kiulizo umeshindwa kuona swali jamani, ila ningekuwa nimekuandikia 2,000 dollars Cheque hata usingeuliza😂😂😂Kwahiyo hapo ndo umeuliza kitu siriazi 😅😅
😁😁graham..Licha ya kuandika na alama ya kiulizo umeshindwa kuona swali jamani, ila ningekuwa nimekuandikia 2,000 dollars Cheque hata usingeuliza😂😂😂
Haya kesho tukutane Forodhani, nimekuletea pension yangu yote kwa ajili yako 😃🙈🏃🏻🏃🏻
Huo ukijani mie napenda sana.
Yaan had mwili ume, sisimka
Fundi km fundi.
Nimeielewa kiukweli.
Aseeeeeeh, bas tyuuuh sina neno.
Na kwanini Tusikumiss pia kwa mfanoNimewamiss wallah![]()
Ohooooo😘😘😘🥰🥰🥰Na kwanini Tusikumiss pia kwa mfano





























Fanya kazi kwa siku sita na siku ya saba ni ya Bwana..ni siku ya mapumziko...!!! kwako mkalimaniSi njia rahisi
Ya kwenda mbinguni
Miiba ni mingi safarini
Vikwazo vipo tele
Lakini najua
Mwokozi Yu pamoja nami
Ooooh Noo
Si njia rahisi×2
Kutembea na Yesu
Kuongoza Safari
Mazito huyarahisisha.
Najipa moyo kwani
Mwokozi aweza
Kunishindia majaribu
Nashinda kwa Imani
Sababu ninaye
Mwokozi aliyenifia
Sent using Jamii Forums mobile app

DuhFanya kazi kwa siku sita na siku ya saba ni ya Bwana..ni siku ya mapumziko...!!! kwako mkalimaniView attachment 1794891


