Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Lugha ni sauti za nasibu...na maneno hayana uhusiano wa moja kwa moja na kitajwa au kirejelewa. Ndiyo maana neno moja linaweza kuwa na maana nyingine katika lugha nyingine. Lugha ni mali ya wanajamii nao wanaweza kuamua lo lote walitakalo.
NB: Juisi hii tamu inapatikana kule Mexico.
NB: Juisi hii tamu inapatikana kule Mexico.









