cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Siwezi kula hicho kidudu mweeeeh.Nyie, mwatia huruma kweli, huyu mdudu mtamu!![]()
Siwezi kula hicho kidudu mweeeeh.Nyie, mwatia huruma kweli, huyu mdudu mtamu!![]()
Nina hakika wengi wetu tumeshawahi kuchoma udi ama kuvukiza mavumba... Wakati mwingine ni taratibu za kiimani kimila ama hata masharti ya mganga Nimevutika kuandika mada.... .....Birthday girlView attachment 1777039
Hiyo miziki nimeisikiliza sana aisee miaka hito ya 2000..Wacha wee,![]()
Umezaliwa siku moja na crush wako.Birthday girlView attachment 1777039







Amen"Nitayainua macho yangu niitazame milima. Msaada wangu utatuka wapi? Msaada wangu utatuka kwa Bwana..." Zab 121. Muwe na siku njema wapendwa.

Ooh reallyUmezaliwa siku moja na crush wako.
Happy birthday to you dearest
Happy birthday crush wa jojo Jack Palladino
Mungu wa mbinguni awatunze sana,
Nawapenda.
Awabarikini Mungu Baba wa Mbinguni,Mwana na Roho Mtakatifu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

jmn my crush Jack Palladino where are you ? Ukuje uku tukate keki ya selfka 


Mmezaliwa tar 1 aiseeeOoh reallyjmn my crush Jack Palladino where are you ? Ukuje uku tukate keki ya selfka
Eeh ndo maan tukawa macrush mungu atutunze inshallah
Thanks you honey![]()
,Hii imekaa vizuri..
.

Hahahhaha for me 26 kamili mungu anijalie nifike uzeeMmezaliwa tar 1 aiseee,Hii imekaa vizuri..
Mtuandalie keki sasa tule humu ndani.
Halafu mtaje na miaka yenu jamani
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


Hongera mamaHahahhaha for me 26 kamili mungu anijalie nifike uzee![]()
japo kwangu ni mdogo miaka kama 8 hivi


Hahhaa sema kweli ako kamwili unanizidi 8 sio kweli bwana ukinizidi sana miaka 2 3 ila sio 8Hongera mama
26 si habajapo kwangu ni mdogo miaka kama 8 hivi
Mungu na asikie maombi yako
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


Amini usiaminiHahhaa sema kweli ako kamwili unanizidi 8 sio kweli bwana ukinizidi sana miaka 2 3 ila sio 8![]()

nina miaka 34.
Amina mama mtumishi mwemaAmen
..Mbingu na nchi ni Zake,asiuache mguu wako usogezwe.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hallow ongera dada mkubwa