Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it



"Dada habari,samahani naomba kuuliza swali"

Endeleza kama unaweza
Oh maskini hii ngoma ya gari
We vipi hebu nipishe

Dada mbona mkali
We kinyago fanya yaishe


Naitwa Vicky
Nina miaka 22
Ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri

Zari la mentali limetokea akati mimi nina njaa
Nikapendwa na demu ...
Nakuwaacha watu wote wakinishangaa katika mitaa

Mtaalamu J$Juma nature.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Huyo umbo namba moja ananichanganya
Toka moyoni nasema nampenda sana
Hebu majani piga hilo gitaa zaidi ya santana ili na mimi nimuimbie baba
Huyo umbo namba moja watu wote mumuone
Unaitwa nani?
FidQ
Unaishi wapi?
Geto
Kazi yako nini?
Mziki
This song

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
leo mama mchungaji umetuamulia humu ndani.
 
Oh maskini hii ngoma ya gari
We vipi hebu nipishe

Dada mbona mkali
We kinyago hebu nipishe


Naitwa Vicky
Nina miaka 22
Ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri

Zari la mentali limetokea akati mimi nina njaa
Nikapendwa na demu ...
Nakuwaacha watu wote walinishangaa katika mitaa

Mtaalamu J$Juma nature.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
aseeeeeh
 
Oh maskini hii ngoma ya gari
We vipi hebu nipishe

Dada mbona mkali
We kinyago hebu nipishe


Naitwa Vicky
Nina miaka 22
Ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri

Zari la mentali limetokea akati mimi nina njaa
Nikapendwa na demu ...
Nakuwaacha watu wote wakinishangaa katika mitaa

Mtaalamu J$Juma nature.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


"Kumbuka nilikukuta kijijini sigimbi,umebaba gunia na furushi la magimbi"

Twende endelea
 
Back
Top Bottom