cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Yaan nimeona tyuuh kichefu chefu. Khaaaah
Yaan nimeona tyuuh kichefu chefu. Khaaaah
Oh maskini hii ngoma ya gari
"Dada habari,samahani naomba kuuliza swali"
Endeleza kama unaweza






Huyo umbo namba moja ananichanganya
Toka moyoni nasema nampenda sana
Hebu majani piga hilo gitaa zaidi ya santana ili na mimi nimuimbie baba
Huyo umbo namba moja watu wote mumuone
Unaitwa nani?
FidQ
Unaishi wapi?
Geto
Kazi yako nini?
Mziki
This song
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app




leo mama mchungaji umetuamulia humu ndani.Anasema eti niliacha kwenye joho jamani


Plz naomba nije kukanyaga mafuta ktk huko mchuma.
Hizi nyimbo nazijua sana.leo mama mchungaji umetuamulia humu ndani.
Kabla hujanipa A naomba
Piga makofi piga makofi
Piga makofi Tafadhari
Darmian piga makofi
Wewe mangi piga makofi
Rafiki yangu piga makofi
Nasema piga makofi tafadhari
Prof J
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app






Na milimaYaan hadi centre nitupu lol, ila inapendeza sana.



Oh maskini hii ngoma ya gari
We vipi hebu nipishe
Dada mbona mkali
We kinyago hebu nipishe
Naitwa Vicky
Nina miaka 22
Ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri
Zari la mentali limetokea akati mimi nina njaa
Nikapendwa na demu ...
Nakuwaacha watu wote walinishangaa katika mitaa
Mtaalamu J$Juma nature.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app





aseeeeeh 


Ongea na babe Jack Palladinowee plz naomba niwe m/kiti wa kamati ya harusi, sitakuangusha.

Hizi nyimbo nazijua sana.
Hakuna bongo fleva ya zamani nisiyoijua..iwe hiphop ama za wabana pua.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app




eti wabana pua, ila wee hapanaWoyoooooooooooh, na MC ntakua mie mwenyewe.Ongea na babe Jack Palladino
Kwenye send off tayari ushapata uennyekiti
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Anasema eti niliacha kwenye joho jamani
Kuna watu mbinguni hawaendi
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app





ila huyo kiboko khaaaaahWatu wabaya sana mdogo wanguila huyo kiboko khaaaaah

Yaan aliua band kabisaa



Ndiyoeti wabana pua, ila wee hapana

Oh maskini hii ngoma ya gari
We vipi hebu nipishe
Dada mbona mkali
We kinyago hebu nipishe
Naitwa Vicky
Nina miaka 22
Ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri
Zari la mentali limetokea akati mimi nina njaa
Nikapendwa na demu ...
Nakuwaacha watu wote wakinishangaa katika mitaa
Mtaalamu J$Juma nature.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app



Siku hizi nimegeuka mpost meme huko watsap.Yaan aliua band kabisaa![]()