Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nguvu ziliniishia mithili ya mfa maji
"Kumbuka nilikukuta kijijini sigimbi,umebaba gunia na furushi la magimbi"
Twende endelea
...kama kweli nakuhitaji
Kigori mwenye umbo kama mdori
Wala sikutaraji ungepiga nami stori
Nilifurahi kuweza kukufahamu
Na nikakuahidi subiri zangu salamu
Kwakuwa nilikwenda tu kumsalimia bibi
Yote yaliyljiri kumwelezea bibi
Watu walishangaa kusikia nimepata mchumba
Kwani vijana wengi wa mjini tuna kasumba
Wakaweka kikao niweze kutoa posa
....ingawa ningekutosa
Walinikabidhi kurudi nawe mjini
Na nikakusisitiza mjini kuwa makini
Alikuwa mzuri mithili ya malaika
Alipokuwa mjini ...alikiwa anashika
Hakika alionekana kuwa mgeni wa jiji
Nilipovua viatu nilivikuta ndani ya friji
Alifanya ....washkaji wakanicheka
Hakutaka kitanda alilala kwenye mkeka
Alipokuwa akiona magari alikimbia
Akiona mtu kwenye tv anamwamkia
Kila alichofanya alikuwa anakosea
Nilimvumilia kwa kuwa hajazoea
Hakai kwenye sofa alikuwa anakaa chini
Mafuta ya kupikia eti anapaka mwilini
Namnunulia soda hataki eti anataka togwa
Nikimletea keki hataki anataka boga
Majirani walimpenda sababu ya uzuri wake
Nasikitika mashangingi wakawa rafiki zake
Akaanza kunywa pombe alipokwenda kusuka
Usiku anatoroka tena kwa kuruka ukuta
Nilipokuwa natoka naye nyuma anatoka
Nikimtuma kitu anadai eti anachoka
Nikienda kazini ndani analeta mabwana
Magari ya kifahari yakawa yanapishana
Hakika starehe za dunia zikamteka hatimaye hata nyumbani pia akatoweka





Aiseee huu wimbo ndo naujua kuliko zote..
Nimechoka kutypee



Nikusaidiaje?
Prof$Ferooz

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app



