Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo miziki nimeisikiliza sana aisee miaka hito ya 2000..
Kaka zangu,mmoja huyo alikuwa anapenda hiphop,yaani basi atawasikilizisha weee aidha mnapenda au hampendi..yeye anawasha redio sauti kubwa kama tuko club.
Huyu mwingine alikuwa anapenda nyimbo za kuimba imba na za huko mamtoni...kila akiweka ananiita nimuangalie anavyocheza(anajua sana kucheza)
Nikajikuta hizi nyimbo nazijua sana automatically.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Aiseeeeeh hapo safi.
 
Back
Top Bottom