T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,928
- 30,075
Juice ya kienyeji
Nitawezana tu.
Nimekupa A+..kumbe upo vizuri hivi kwenye bongofleva?!!Huyo umbo namba moja ananichanganya
Toka moyoni nasema nampenda sana
Hebu majani piga hilo gitaa zaidi ya santana ili na mimi nimuimbie baba
Huyo umbo namba moja watu wote mumuone
Unaitwa nani?
FidQ
Unaishi wapi?
Geto
Kazi yako nini?
Mziki
This song
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ah, yule bingwa alikuwa hatari kwa mistari ya wapendanao! 🤣
He was an expert in that sectorAh, yule bingwa alikuwa hatari kwa mistari ya wapendanao!![]()




Am telling you, sahi na hii 21st century yetu, angeitwa 'Fisi' for sure! 🤣 🤣 🤣
Kabla hujanipa A naombaNimekupa A+..kumbe upo vizuri hivi kwenye bongofleva?!!










Hahaha!Am telling you, sahi na hii 21st century yetu, angeitwa 'Fisi' for sure!![]()
![]()
![]()
Hivi sasa tushaianza safari ya baridi.Nitawezana tu.
Kumbe baridi imeshika huko pia? 🥶Hivi sasa tushaianza safari ya baridi.
Hii baridi kuisha ni hadi August.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Huku kuna kiwanda cha kuzalisha baridi🤣Kumbe baridi imeshika huko pia? 🥶
Panavutia sana
Kabla hujanipa A naomba
Piga makofi piga makofi
Piga makofi Tafadhari
Darmian piga makofi
Wewe mangi piga makofi
Rafiki yangu piga makofi
Nasema piga makofi tafadhari
Prof J
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


Hapa bado sijaweka ya kwenye Biblia.
Kule kuna mashairi ya kufa mtu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app




wee plz naomba niwe m/kiti wa kamati ya harusi, sitakuangusha.Yaan hadi centre ni


tupu lol, ila inapendeza sana.



Duuuh ndo anatishaa hivo mweeeehLobster huyo.