Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Juice ya kienyeji
JPEG_20210507_181325_4656232894640131743.jpg
 
Huyo umbo namba moja ananichanganya
Toka moyoni nasema nampenda sana
Hebu majani piga hilo gitaa zaidi ya santana ili na mimi nimuimbie baba[emoji444][emoji445]
Huyo umbo namba moja watu wote mumuone[emoji445]
Unaitwa nani?
FidQ
Unaishi wapi?
Geto
Kazi yako nini?
Mziki[emoji23][emoji23]
This song[emoji91][emoji91]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nimekupa A+..kumbe upo vizuri hivi kwenye bongofleva?!!
 
Nimekupa A+..kumbe upo vizuri hivi kwenye bongofleva?!!
Kabla hujanipa A naomba
Piga makofi piga makofi
Piga makofi Tafadhari
Darmian piga makofi
Wewe mangi piga makofi
Rafiki yangu piga makofi
Nasema piga makofi tafadhari[emoji23]
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Prof J

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kabla hujanipa A naomba
Piga makofi piga makofi
Piga makofi Tafadhari
Darmian piga makofi
Wewe mangi piga makofi
Rafiki yangu piga makofi
Nasema piga makofi tafadhari[emoji23]
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Prof J

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]

"Dada habari,samahani naomba kuuliza swali"

Endeleza kama unaweza
 
Back
Top Bottom