Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hallow ongera dada mkubwa


akhsanteee

Kwahiyo keki tunakula wapi mdogo wangu?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hallow ongera dada mkubwa


akhsanteee

Ngoja aje crush tudiscus ilo swalaakhsanteee
Kwahiyo keki tunakula wapi mdogo wangu?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ya kwake nilishamuandalia hukuNgoja aje crush tudiscus ilo swala


Happy birthday Jack Palladino.Hili penzi lidumu hadi siku moja ile special tule pilau kwa chai kwa hisani kubwa ya mrembo Saint Anne!
View attachment 1777263










Halafu mzee wa chura acha kumshusha babe wangu.Happy birthday Jack Palladino.Hili penzi lidumu hadi siku moja ile special tule pilau kwa chai kwa hisani kubwa ya mrembo Saint Anne!
View attachment 1777263
,hebu tafuta picha inayoendana na yeye







.Hakika..
Mbona hapo ni HB sana tu tena ametupia suti kali sana!Halafu mzee wa chura acha kumshusha babe wangu.
Mchumba wangu ni HB jamani acheni kabisa,hebu tafuta picha inayoendana na yeye
.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app



Siku hiyo vyombo vitupishe kwa kweli!
Babe anapiga vyombo kwahiyo mtapiga vyombo na chai.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app



Hakika..
Kinachowaumiza watu ni matarajio makubwa.
Wahenga walisema tenda wema nenda zako.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Natamani nitoe ushuhuda hapa jinsi babe alivyoMbona hapo ni HB sana tu tena ametupia suti kali sana!![]()





Weee nakuja bwana
Babe hatanielewaSiku hiyo vyombo vitupishe kwa kweli!![]()




Kabisa yaani..Kweli kabisa .
Expectations always hurt .
Uje na bia ,Weee nakuja bwana
Hahahhaha usjali chimama
